Nimemaliza degree ya education English and Geography 2018 nakusanya nauli nifuate transcript chuoni niombe maombi ya uwalimu

kesho kutwa

JF-Expert Member
Dec 7, 2016
1,616
1,761
Wakuu Kwa aliemaliza mwaka Jana art aliefanikisha kuomba anipe matumaini naendelea kukusanya nauli Hali ngumu.. Nimemaliza chuo kwa Jana.. Nimesikia ajira zenyewe ziko limited

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Degree ya Education English in anatolewa chuo gani? Inaonekana una degree mbili ya Education English na Geograghy. Kwa jinsi inavyosomeka hapo hamna degree iliyotajwa kwenye tangazo.

Angalia mstari wa kwanza wa sentensi yako ambao ni (topic sentence) haueleweki........"waliosoma arts...) Kozi za arts zipo nyingi na nyingi haziusiani na mambo ya ualimu ...from politics to anthropology et al.

Ushauri: jaribu kutulia any time unapoandika kitu kitakachosomwa na mengine maana maandishi ndio yatasimama badala yako. Picha/mwonekano/mpangilio wake vinampa msomaji picha yako.

Chaao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Degree ya Education English in anatolewa chuo gani? Inaonekana una degree mbili ya Education English na Geograghy. Kwa jinsi inavyosomeka hapo hamna degree iliyotajwa kwenye tangazo.

Angalia mstari wa kwanza wa sentensi yako ambao ni (topic sentence) haueleweki........"waliosoma arts...) Kozi za arts zipo nyingi na nyingi haziusiani na mambo ya ualimu ...from politics to anthropology et al.

Ushauri: jaribu kutulia any time unapoandika kitu kitakachosomwa na mengine maana maandishi ndio yatasimama badala yako. Picha/mwonekano/mpangilio wake vinampa msomaji picha yako.

Chaao

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba hujaelewa alicho andika mkuu????

Wew unatakiwa kujitafakali

Sent using Jamii Forums mobile app
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom