G4rpolitics
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 4,335
- 5,184
Nyie nao fanyeni basi dhuluma angalau muwe na jengo, kma kutapeli na kudhulumu ni rahisi kiasi hicho mkuu.Sababu ya hao wengine kua na jengo kubwa la ghorofa, ni kutapeli wananchi. Kudhulumu rasilimali za taifa, na unyonyaji uliopitiliza!
Sent from my 5033X_EEA using JamiiForums mobile app