themagnificient
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 988
- 3,318
Nimeshtushwa namna Daraja lilivyokuwa zuri, kongole kwa Serikali yetu kwa kweli.
Toeni tozo tuendelee kuwajengea hayo madaraja hata kwa bilioni moja.
Mrisho Gambo alikuwepo ?
Toeni tozo tuendelee kuwajengea hayo madaraja hata kwa bilioni moja.
hahahaToeni tozo tuendelee kuwajengea hayo madaraja hata kwa bilioni moja.
Very sad na trauma ya mtoto huyu aliyeona mwanamke akiwa Leba ataishi nayo maisha yake yote, tufumbe macho Ile kufumbua kila kata ina special area ndani ya hospital kwa ajili ya kinamama kujifungua na special area hizi pia zinaruhusu waume/boyfriend kuwepo pale wakati wenzi wao wakijifungua, nitaishi kuona haya yakitokea hapa Tanzania, definitely it's NoKongole pia zifike huku👇😁😁😁
View attachment 2343082
Ndio hilo daraja linafika hihela kama wamejenga kwa kufuata standard.
Uone mkeo/girlfriend akiwa anajifungua ili iweje Sasa?Uzungu mwingine ni wa kipumbavu Sana.Very sad na trauma ya mtoto huyu aliyeona mwanamke akiwa Leba ataishi nayo maisha yake yote, tufumbe macho Ile kufumbua kila kata ina special area ndani ya hospital kwa ajili ya kinamama kujifungua na special area hizi pia zinaruhusu waume/boyfriend kuwepo pale wakati wenzi wao wakijifungua, nitaishi kuona haya yakitokea hapa Tanzania, definitely it's No
@Glenn pitia hukuKongole pia zifike huku
View attachment 2343082
Wewe ndio una upumbavu, na inaonekana hauna respect, na hujui bond unayojenga as a family inapokua nawe upo pale, mtoto anazaliwa na unamweka kifuani kwako ni chemistry ya kudumu na utamweshimu mke/mpenzi wako mileleUone mkeo/girlfriend akiwa anajifungua ili iweje Sasa?Uzungu mwingine ni wa kipumbavu Sana.