!! Nimelimwa Notes: Mke wangu analipuliza !!

Umenikumbusha mtoto wa jirani alipiga bangi hadi akalazwa kwenye wodi ya vichaa pale muhimbili. tukaenda kumtembelea siku moja, na alikuwa anadai yeye havutagi bhangi, nikiwa namtania, nikamwambia ''vipi mzee hicho kilikuwa cha wapi? akaniangaliaaaa, ''hamna braza, kilikuwa cha arumeru magharibi'' nilicheka hadi mbavu zikauma, kipindi hiko ndo Chadema imeshinda arumeru. Bhangi bhana.
 
Ndiyo mkeo huyooo,hameni tu muwaachie nyumba yao hiyo weed mkai"smook" mbele ya safari
 
Habari wana JF, Shikamooni wana MMU.

The beautful wife of mine smook weed.
Jamani juzi kati nimembamba mke wangu akiwa analipuliza. Tena alipo niona wala hakushtuka
kwa mapoozi akaendelea kulikoka.. ahh! mi nikazani sigara kwani huwa anapiga siku moja moja
anadai inaondoa stress na kwa sababu nilikua tungi nikazama ndani.
Leo nimepewa notes na baba mwenye nyumba kwa mke wangu kuvuta bangi hadharani (Ila hii sio ishu nitamalizana nae).

Mke wangu nikimuuliza anasema mbona wewe unakunywa?.. Kwani tatizo nini?...

Story ni ndefu sema nimeifupisha.

Kwani we ulikutana nae wapi huyo the wife mpaka ukamuoa?
 
Mkuu Uruguay mtapata tu nyumba nzuri za kupanga...na 'your beautiful wife' ataendelea kusmoke wood kwa raha zake! Lakini lemme ask kwani kwenye mkataba wenu wa upangaji kuna kipengele kinachokataza mpangaji kukoka weed?
 
Kama na wewe huvuti ndumu lazima wife atakuwa anakupelekesha sana kwenye 6*6. Maana hiyo ni bonge ya kiagra
 
Starehe hiyo kama zingine,,, nipe no zangu tuwe tunalivuta wote.

I swear kama ungekua jirani au shoga yake ningesema wewe ndio unamshauri maana majibu yake ndio kama yako.
" Hii ni starehe kama starehe zingine na wewe ukitaka vuta".
Btw mi sina neno.. tatizo mimi najifanyaga ticha nkirudi kwenye mishe zangu huwa kuna madogo wa advance nawapiga kitabu.
 
Back
Top Bottom