Emma Lukosi
JF-Expert Member
- Jul 22, 2009
- 929
- 147
Habari wana JF, Shikamooni wana MMU.
.. Kwani tatizo nini?...
Story ni ndefu sema nimeifupisha.
.. Kwani tatizo nini?...
Story ni ndefu sema nimeifupisha.
Shikamooni wana MMU.
The beautful wife of mine smook weed.
Habari wana JF, Shikamooni wana MMU.
The beautful wife of mine smook weed.
Jamani juzi kati nimembamba mke wangu akiwa analipuliza. Tena alipo niona wala hakushtuka
kwa mapoozi akaendelea kulikoka.. ahh! mi nikazani sigara kwani huwa anapiga siku moja moja
anadai inaondoa stress na kwa sababu nilikua tungi nikazama ndani.
Leo nimepewa notes na baba mwenye nyumba kwa mke wangu kuvuta bangi hadharani (Ila hii sio ishu nitamalizana nae).
Mke wangu nikimuuliza anasema mbona wewe unakunywa?.. Kwani tatizo nini?...
Story ni ndefu sema nimeifupisha.
Marhaba kijana hujambo? mimi kaka yako nimeshindwa kuelewa hayo maandishi ya rangi nyekundu
Starehe hiyo kama zingine,,, nipe no zangu tuwe tunalivuta wote.
Ndiyo mkeo huyooo,hameni tu muwaachie nyumba yao hiyo weed mkai"smook" mbele ya safari
Kwani we ulikutana nae wapi huyo the wife mpaka ukamuoa?