@amu wangu hajawahi kuwa mwiziUnaweza kuwa umeiba simu ya watu wewe jamaa
Kwel kbsNadhan angekuwa na sim nyingine angepiga picha kila step tumsaidie
Mkuu mfano umesahau password inakuaje hapo?Ok simu yako ni hizi android version ambazo zinazuia wizi kwa FRP (Factory Reset Protection) hivyo hakikisha unaijua na unaikumbuka email na paswed uliyoweka kwenye simu.
Zima simu.
Bonyeza power button na volume up button kwa pamoja.
Itakuletea recovery interface.
Nenda kwenye wipe data/ factory reset.
Kisha shuka mpaka kwenye yes.
Kubali.
Ikimaliza kuwipe utakubali Reboot.
NB. Tumia volume down kushusha, volume up kupandisha wakati wa selection. Power button ni kwa ajili ya kuchagua.
Kama hukumbuki password mkuu inakuwaje Hapo, msaada?Daah hapo uwe unakumbuka email na password ya google .. bonyeza volume up and power off kuna step kadhaa
Download software inaitwa Miracle Star 2.7 ni vyema ukaipata ya Telecom isiyo na paswed.
Pia download na drivers kwa ajili ya simu za Media Tek. Zisearch google kwa jina hili mt65xxx usb drivers.
Badilisha tarehe ya pc yako na mwaka uwe 2014.
Ziinstall hizo softwares zote mbili.
Nenda kwenye miracle loader ifungue.
Itakuletea interface ina ribbon nyingi upande wa juu kulia. Ibonyeze ribbon ioiyoandikwa 'Unlock/ fix'
Ukishaibonyeza utaona neno 'Clear setting/ frp' libonyeze hilo neno.
Kisha bonyeza start button.
Itakuuliza kama unataka kuback up. Kataa.
Itakutaka uichomeke simu na usb.
Chomeka (simu iwe imezimwa) itajiprocess yenyewe na mwisho itakwambia done.
Utakua umeshamaliza tatizo.
NB. Disable antivirus au iseti isiichukulie miracle kama kirusi.
Mkuu mfano umesahau password inakuaje hapo?