Nauliza ushauri wenzangu...mie nimelelewa kijijini kwa desturi za kitanzania kwa misingi ya kuwa mtu wa kabila lako kama ni mkubwa basi baba, shangazi, mjomba, au mama...kama ni lika sawa basi kaka na dada.
Bahati nzuri nilipofikia umri wangu wa kuwa mtu mzima (18) nilichukuliwa na ba mdogo na kwa bahati shv tunaishi mji mkubwa sn Jiji letu (Dar).
Nimekua kila nikipata mtu tunayependana kwa dhati anakua kabila langu hiyo imekuwa inaninyima uhuru maana nakua naona kama ninauhusiano na ndugu yangu imekua tatizo sana hadi sasa ninaye ananipenda na ye nampenda lkn tatizo kabila ni moja na kila mara nakosa uhuru nahic kama ni ndugu yangu nifanyejeee??
naombeni ushauri madhubuti ndugu zangu ..ila mzingatie makabila mengine siwapendi sn sijui ni kwakuwa nililelewa kwakulipenda kabila langu na mara nyingi nao hawanipendi sn
Bahati nzuri nilipofikia umri wangu wa kuwa mtu mzima (18) nilichukuliwa na ba mdogo na kwa bahati shv tunaishi mji mkubwa sn Jiji letu (Dar).
Nimekua kila nikipata mtu tunayependana kwa dhati anakua kabila langu hiyo imekuwa inaninyima uhuru maana nakua naona kama ninauhusiano na ndugu yangu imekua tatizo sana hadi sasa ninaye ananipenda na ye nampenda lkn tatizo kabila ni moja na kila mara nakosa uhuru nahic kama ni ndugu yangu nifanyejeee??
naombeni ushauri madhubuti ndugu zangu ..ila mzingatie makabila mengine siwapendi sn sijui ni kwakuwa nililelewa kwakulipenda kabila langu na mara nyingi nao hawanipendi sn