Nimelazimika Kutembea Na Mume Wa Mtu! Sina Jinsi! Kama Mumeo Ungenilaumu Kweli!

lara 1

JF-Expert Member
Jun 10, 2012
15,700
29,111
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Husikeni na kichwa cha habari hapo juu!

Kwa utangulizi mfupi mimi nilipata ajali July sasa kutokana na hiyo ajali bado naumwa umwa mara kwa mara! Namshukuru Mungu sikulemaa ila ocassionally nikitembea sanaa mguu unavimba nakuwa nachechemea! Pamoja na ajali mambo yangu mengi mwaka huu yamevurugika vurugika, na huku kuumwa mda mrefu sina hata uhakika nitapona lini kumeleta mambo mengi sanaa yasiyo furahisha ikiwemo kutikisika kiuchumi na kulazima kuwa na savings kubwa incase emergency ya kwenda kutibiwa nchi za watu nisiabike! Nimejikuta ninahitaji la mamilioni wakati mia sina!lol! Kuumwa huku kazi imenishinda, dili zinasuasua mda mwingi nakuwa nauguza mguu. (msisikitike sana ndo maisha hayo! ITS NOT THAT BAD!)

Sasa wakati mimi nikishuka wenzangu wamepanda sanaaaa! Wamefanya ambo makubwa! Ni heri yao wala siwaonei wivu ila wanaleta zarau! Ujue mimi naumwa afu nimekwamaa instead of showing compassion and remembering the good things i did for them wanaleta compeee! As if i am finished! (Maybe i am truly finished) Its over for me, sina thamani tena, full kuwa ignored. I dont matter no more. Sababu naumwa kuna watu nawadai hawanilipi, nitawafanya nini wakati afya mgogoro, kuna watu wananisikitikia sasa sijui kweli au unafiki, All in all MIMI HAYA MAISHA MAPYA SIJAYAKUBALI! WALA SITOKAA NIYAKUBALI!

I am so bitter in my heart hadi nikiingia humu naona mada zote zinaniboa tu! Yaani nawaza for how long niwaache hawa watu waendelee to look down at me, wanikalie kichwani, waone wamenializa! Hapana aiseee! Naturally mimi ni fighter! sio mnyonge! They have pushed me too far kwenye point of being capable of doing anything! I will do anything to build up myself again so that i can only TAKE CARE of them snitches! I want to rebuild my self ili niwashughulikie tu, one by one without showing any mercy. Siwezi kuishi hivi for the rest of my life. And dont tell me do nothing! Cause if i do nothing, nothing will happen.

Talk is CHEAP, i want to build myself Yeah! yeah! yeah! everybody surely wants that. The million dollar question is HOW!????? Sasa kuna waume za watu hawa 2, wamejipendekeza anga zangu at dangerous times like these! Hawa bwana they have what i need to whipe out all my enemies and troubles with just 1 word NIMEKUBALI!! Nataka nitangaze vita na multiple people and war means funds, and funds is what i dont have, na huko kujirestore to my previous position it aint a cheap procedure! Itanicost dearly! Yet its something that must be done! Hawa bwana nataka nichague mmoja and they have DISPOSABLE INCOME! Hizi stress zote nilizonazo can kujiachia na mume wa mtu be worse than hizi stress? I dont think soo!

Dont get so sentimental! Sio kwamba namchukua, im just borrowing him for some time KUJIOKOA kujiboreshea maisha kidogo! I deserve a little bit stress free life dont i?(Ofcourse the wifey deserve the most part of it sababu walionana mapema ila nikidokoa kidogo she wont mind) Besides SHIT HAPPENS BECAUSE IT JUST DOES!!!!!!!! Its not my fault or her fault that i got sick! But i got sick anyway! Its not like she will know or something!

Before you get SO JUDGY AND CONDEMNING dont be selfish and think a little me about me! Najua hii njia sio bora but dangerous times call for dangerous remedies! Do you really suggest MWENYE NACHO AJILIMBIKIZIE (Ana mume, kazi, happy family, mali everthing you wish for) NA MIE WANIMALIZIE KABISAAA! Kweliiiiiii? Hata msisuggest nifanye biashara coz itafilisika dakika2, akili haijatulia kabisaa, na moyo umejaa kisasi, Ndugu wa kunisaidia ni bi mkubwa wangu ila inabidi nimwambie hela za nini, sasa nikimwambia walivonifanya atapata uchungu zaidi ya wakwangu anaweza hata kupata pressure bure na sononeko kuu , ndugu zangu wengine wako kwenye list ya kushughulikiwa! Na hii kazi inahitaji disposable income cause hairudi!

Mambo ya kumuomba Mkuu, tuyaweke kando, kutokana na nature ya hili zoezi ni kulipa kisasi! Sio kwamba kuwasemehe nimeshindwa but ieshindikana sababu hii tabia chafu wataiendeleza, na tutaishi bila kuaminiana hadi lini, nalazimika kuwa descipline na kuwafundisha somo wasirudie tena! Haya masuala ni muhimu sana kwangu kupita mnavozani. Hakuna kitu kinauma kama kukataliwa na jamii yako bila sababu za msingi. Unaweza hata kunywa poison kama huna roho ya mchongoma!

Kweli if it was your hubby will you be mad at me? Show mercy! LOL! Na mliowahi kujiachia na waume za watu, why? and did you have any remorse? Embu nipeni INSIDE STORY kidogo.
 
Aisee kwa hiyo utakuwa unafanya mapenzi kwa malipo?? utamchaji ngapi kwa tendo? utaweza kumridhisha vizuri kiasi afurahie huduma akulipe kiwango kitakachokutoa ukitilia maanani hali ya mguu wako?
All the best kwa kuwa reasons zako wasadiki zina mashiko.
 
Haahahaaaaaa nimecheka na kukuonea huruma pia.......

ume sound like a certain girl who is so desperate out there...

a girl who can do anything to get what she want....

so all you need is MONEY for show off that your still lara 1 they used to know......THAT'S ALL

halafu hilo swali la "If it was your Hubby will I be mad" at you that is Obvious...........
 
Last edited by a moderator:
Aisee kwa hiyo utakuwa unafanya mapenzi kwa malipo?? utamchaji ngapi kwa tendo? utaweza kumridhisha vizuri kiasi afurahie huduma akulipe kiwango kitakachokutoa ukitilia maanani hali ya mguu wako?
All the best kwa kuwa reasons zako wasadiki zina mashiko.

Embu acha kupayuka payuka!

Mume wa mtu kanipenda anataka aniboreshee maisha! Sasa mimi sio wale treat your friends BADLY and your enemies WORSE! Mimi huyu bwana analengo la kunitendea WEMA mtupu! Sasa HE IS A MAN! AND I CANT TREAT HIM LIKE A FO.OL OR LIKE A BOY! Nipokee wema wake tu basi! Noooo!

I WILL TREAT HIM LIKE A MAN HE IS! A GOOD MAN! CONSIDER IT SHOWING APPRECIATION! Watu kibao nimetoka nao hawajaniboreshea chochote zaidi kujipanga folleni na kujirisk na mitandao tu, faida iliopatikana 0!

YOU ARE TOO YOUNG TO UNDERSTAND THIS!!!!!!!! Wahi club mnakolipana kwa tendo!
 
lara 1 hapo kwenye nyekundu hapo some how na feel what u feel but mwombe Mungu atakusaidia tu,,..... its real pain...
 
dah!,inabidi usiwe na wivu.kwani ukionyesha wivu unachokifanya kitajulikana na utakuta unamkwaza unayeiba naye!
Mkakati huwa unalipa kama upo serious,na unakuta wote mnafunguka,na hakuna kuumizana bali ni kusaidiana kwa kwenda mbele.[rasilimali fedha,kiuchumi pia na kijamii]
 
Leo ni siku ya ukimwi duniani,vipi umepima?
1.Kama uko salama angalia usije ukaambukizwa ukimwi ukawa na matatizo mara mbili ukijumulisha na ya sasa
2.kama una ukimwi,angalia usije ambukiza na hao waume za watu usababishe uyatima na mateso kwa watoto,
3.Pia kwani huna well funded boyfriend wa kukuboost mpaka ukaibe wa wenzio?
4.wanaume matapeli tu,watakugegeda alafu wakupe hela ya soda tu,mana hakuna mkataba kwamba unaweza kwenda kushitaki.
5.kama utakuwa ni A + onana na kapuya atakurebeshia mambo yako.
 
Leo ni siku ya ukimwi duniani,vipi umepima?
1.Kama uko salama angalia usije ukaambukizwa ukimwi ukawa na matatizo mara mbili ukijumulisha na ya sasa
2.kama una ukimwi,angalia usije ambukiza na hao waume za watu usababishe uyatima na mateso kwa watoto,
3.Pia kwani huna well funded boyfriend wa kukuboost mpaka ukaibe wa wenzio?
4.wanaume matapeli tu,watakugegeda alafu wakupe hela ya soda tu,mana hakuna mkataba kwamba unaweza kwenda kushitaki.
5.kama utakuwa ni A + onana na kapuya atakurebeshia mambo yako.

nataka kwenda kupima UKIMWI ila naogopa wallahi.......
kabla huu mwaka haujaisha nataka nikapime ila naogopa for real
 
Haahahaaaaaa nimecheka na kukuonea huruma pia.......

ume sound like a certain girl who is so desperate out there...

a girl who can do anything to get what she want....

so all you need is MONEY for show off that your still lara 1 they used to know......THAT'S ALL

halafu hilo swali la "If it was your Hubby will I be mad" at you that is Obvious...........


I dont need to show anything, I NEED TO GET BACK TO MY PLACE WHERE I REALLY BELONG AMONG MY PEOPLE!!!!!!!! IF YA RESPECT IS LOST YOU DO WHATEVER IT TAKES TO EARN IT BACK !!!!!!!!!!

Those are my people as rude as they maybe i am still THEIR PERSON they need to learn to respect that! I can just give up my life too easily! Just because some accident knocked me down! Naaaaaaaah!

I dont need MONEY, i nee to be ACCEPTED AGAIN and MONEY WILL FACILITATE THAT!

If it was my hubby ILL LET IT SLIDE! Its not like the girl will keep him permanently or something! I will still keep my lions share, after all i would be the one who is BLESSED but she would just be lucky that my man TEMPORALLY looked at her! I WOULD LET IT SLIDE! Just out of showing some compassion for the WEAK!
 
Inaelekea umejipanga haswa, hutasikia la muazini wala mnadi swalaa! Ni mbaya kufanya hicho kitendo sana sana hata kama its a matter of life and death! I suggest ukakope kwa mwenye mume hela ya kulipa kisasi rather than steal the hubby!
No wify will ever accept your flirting proposals my dear!
Otherwise do it at own risk!! Siyo kwamba mi msafi sijawahi kucheat na mume wa mtu, la hasha, ila si shauri mwengineo afanye hivyo as nafeel ni bad!
I did for the same reasons financial support, nilivoweza stand on ma own nili quit!
 
Only a woman with no self-esteem would stoop so low. The kind of woman who never feels complete. The kind of woman who lives by comparing her lifestyle with that of others and strives to strip others of their God given happiness. You do not have to cross that line so stop finding excuses to do so. Its pathetic!
 

Similar Discussions

26 Reactions
Reply
Back
Top Bottom