Hapa ofisini kwetu washroom ina vyumba viwili tu for ladies and gents. Vimetenganishwa na partition ya kioo kigumu kwenye aluminium panel, hivyo ukiingia mtu akiwa the other room unamsikia vizuri (lakini haonekani of course). Sasa kila ninapoingia upande wetu wa gents kama ule upande wa ladies una mtu huwa nakwazika sana. Sorry folks.