Carnivora
JF-Expert Member
- Jan 26, 2018
- 3,651
- 5,986
Wakuu habari.
Mwenzenu nimekwama. Tena sana. Mimi ni mfanyabiashara. Si mdogo sana na wala sio mkubwa.
Katika mishe zangu nimenunua ka usafiri kanisaidie hapa na pale. Nina Toyota Spacio, namba DPX kabisa.
Kilichonikwamisha hapa ni kuwa, katika mishe zangu kuna pesa ilipungua kiasi cha mil 5. Nikafight hapa na pale nikapata mil 2. Milioni 3 nikakosa kabisa. Likanijia wazo nichukue gari yangu nikatafute mtu anipe mil 3 akae nayo week moja nitarudisha. Nikaongea wazo langu kwa wife. Akanijibu tu "kuwa makini". Nikiangalia pesa nyingi nimenunua mpunga vijijini huko na sijauuza bado ndio chanzo cha kukosa hiyo pesa. Mil 5 kwangu sio issue sana under normal days.
Asubuhi nikaamkia kwenye mishe kama kawaida. Nilipoona hali si shwari nikaenda home kufata kadi ya gari. Sikuikuta inapokaa. Tafuta weee in vain. Kumuuliza wife anasema naye hajui ilipo niangalie tu vizuri.
Nikajua amenifanyia hiyana. Tumegombana sana. Hajaitoa. Nimeamua kurudi huku nimefura kwa hasira.
Namuwaza sana yule mwanamke, kwake nimekwama. Lakini nawaza sana mishe zangu zilivyokwama.
MY TAKE:
Ni mwendo wa mfumo dume tu. Demokrasia wanawake wanaitumia vibaya na madhara yake tunayapata sisi wanaume.
Sent using my Nokia Torch
Mwenzenu nimekwama. Tena sana. Mimi ni mfanyabiashara. Si mdogo sana na wala sio mkubwa.
Katika mishe zangu nimenunua ka usafiri kanisaidie hapa na pale. Nina Toyota Spacio, namba DPX kabisa.
Kilichonikwamisha hapa ni kuwa, katika mishe zangu kuna pesa ilipungua kiasi cha mil 5. Nikafight hapa na pale nikapata mil 2. Milioni 3 nikakosa kabisa. Likanijia wazo nichukue gari yangu nikatafute mtu anipe mil 3 akae nayo week moja nitarudisha. Nikaongea wazo langu kwa wife. Akanijibu tu "kuwa makini". Nikiangalia pesa nyingi nimenunua mpunga vijijini huko na sijauuza bado ndio chanzo cha kukosa hiyo pesa. Mil 5 kwangu sio issue sana under normal days.
Asubuhi nikaamkia kwenye mishe kama kawaida. Nilipoona hali si shwari nikaenda home kufata kadi ya gari. Sikuikuta inapokaa. Tafuta weee in vain. Kumuuliza wife anasema naye hajui ilipo niangalie tu vizuri.
Nikajua amenifanyia hiyana. Tumegombana sana. Hajaitoa. Nimeamua kurudi huku nimefura kwa hasira.
Namuwaza sana yule mwanamke, kwake nimekwama. Lakini nawaza sana mishe zangu zilivyokwama.
MY TAKE:
Ni mwendo wa mfumo dume tu. Demokrasia wanawake wanaitumia vibaya na madhara yake tunayapata sisi wanaume.
Sent using my Nokia Torch