nimekwama kwenye windows 8 msaada tafahali!!

banzy

Member
Sep 2, 2012
22
140
Habari zenu wakuu!
Nina laptop yangu aina ya Samsung spec. zake ni 1.7ghz,2gb ram,300gb HDD imekuja na windows 8 nataka niiuninstall window 8 niweke window 7 coz windows 8 co userfriend kwangu,sasa kila nikiweka cd ya window 7 na kuboot laptop haiisomi cd nikajarib kuiacha hadi istart then nikarun cd kupitia kwenye my computer inaload kidogo inaonyesha inaanza system configuration,startup hlf inaleta error kwamba niirestart iboot tena ikiboot tena cd haiisomi,nikaingia kwenye bios kuchange boot order ianze cd lakini wapi imegoma,naomba mnijuze au kuna ki2 Microsoft wamefanya kwenye w8 tusiinstall naomba mnisaidie hili tatizo ni Mara yangu ya 1 ku2mia w8!!!!
natanguliza shukrani
 
jaribu kutumia flash ambayo ipo bootable imewekewa window 7 na jinsi ya kuitengeneza nenda kasearch youtube tutorial za kutengeneza bootable flash za win 7 labda hapo itakusaidia kama imegoma kuboot tokea kwenye dvd..
 
if i were u nisingeitoa hiyo windows maana windows 8 ipo light na faster kuliko 7 kuna possibility pc yako ikawa slow baada ya hio downgrade

kwa samsung boot option unaipata kwa kubonyeza esc umejaribu?
 
Napita tu. Suala la kwamba siyo user friendly kwako, ni la muda mfupi,jitahidi kucheza nayo utaipenda,iko poa sana.

Naipenda sana win 8. Kila siku nagunda feature mpya. Ni vizuri kucheza nayo na kufanya uvumbuzi.
 
Nakushauri tu utumie hiyo windows8 tutorials zipo online unaweza kujifamilialize tu ukazoea,nimetumia sana win 7 window8 ni nzuri sana, secure,nyepesi,n alot of bugs zimekuwa fixed.ukiacha metro style start screen windows 8 inafanana na windows 7,lazima itasumbua kutokana na compatibility problems kwasababu win 8 ni latest kuliko win7, hata ukifanikiwa kuweka win7 bado itakusumbua.
 
Nimejaribu kupiga window 8 kwenye kompyuta yangu aina ya toshiba lakini niki press f12 inawaka km kawaida nikipress f8 inatoka menu ya advanced boot option nifanyeje maana nimeshindwa kabisa kubadilisha window hiyo
 
ndume:
Code:
Pc yako inaonyesha ina processor ndogo sana 1.7ghz hata win 8 iko kama wamelazimisha itakuwa hai-function vizuri. Ni vizuri ukitupia win 7.
kuhusu tatizo lako nadhani tatizo lipo kwenye Bit copatibility, em cheki bit , either 64 ama 32, ili ujue kama CD win 7 ni compatible na hiyo win 8 yako.kama cd na window zinatofautiana, inaweza kugoma.
 
Naipenda sana win 8. Kila siku nagunda feature mpya. Ni vizuri kucheza nayo na kufanya uvumbuzi.

Binafsi win 8.1 ni nzuri zaidi hasa ina uwezo wa ku-customize apps. kitu ambayo win 8 haina. but generally zote ni nzuri kwakweli.
 
Napita tu. Suala la kwamba siyo user friendly kwako, ni la muda mfupi,jitahidi kucheza nayo utaipenda,iko poa sana.
PC inaonyesha processor yake ni cha mtoto ukilinganisha na ukubwa wa win 8, hii inaweza kufanya laptop hata zile apps zisiweze ku-roll free. ikambidi kurudi mwaka arobaini na saba kwa win 7
 
Habari zenu wakuu!
Nina laptop yangu aina ya Samsung spec. zake ni 1.7ghz,2gb ram,300gb HDD imekuja na windows 8 nataka niiuninstall window 8 niweke window 7 coz windows 8 co userfriend kwangu,sasa kila nikiweka cd ya window 7 na kuboot laptop haiisomi cd nikajarib kuiacha hadi istart then nikarun cd kupitia kwenye my computer inaload kidogo inaonyesha inaanza system configuration,startup hlf inaleta error kwamba niirestart iboot tena ikiboot tena cd haiisomi,nikaingia kwenye bios kuchange boot order ianze cd lakini wapi imegoma,naomba mnijuze au kuna ki2 Microsoft wamefanya kwenye w8 tusiinstall naomba mnisaidie hili tatizo ni Mara yangu ya 1 ku2mia w8!!!!
natanguliza shukrani

windows 8 inatumia windows boot manager yaani ina-Ovewrite Bio Boot Option.
1. Ingia kwenye bios
2. disable windows boot manager
3. Disable secure boot
4.Enable UEFI boot.

baada ya hayo yote ukishaboot usishangae ukakosa option ya "NEXT" pale kwenye ku install windows 7.
Endapo windows itakuambia "WINDOWS CANNOT BE INSTALLED ON THIS PARITION" basi tatizo ni:
1. windows 8 inatumia file system ya NTFS au GPT
2. Kama iliyotumika ni NTFS basi hakuna tatizo , unaweza kuendelea na installation ya win 7
3. Kama iliyotumika ni GPT hapo option ya ku Install au "NEXT" haita kuwepo na utapata warning "WINDOWS CANNOT BE INSTALLED ON THIS PARITION"

SOLUTION:
kama wewe una uzoefu na DOS basi RUN DOS kwakutumia cd ya win 7 na u-change partion file system.
Njia Rahisi, tumia liveCD na uka deletena ku create patition na kuiformat kwa NTFS
 
ndume:
Code:
Pc yako inaonyesha ina processor ndogo sana 1.7ghz hata win 8 iko kama wamelazimisha itakuwa hai-function vizuri. Ni vizuri ukitupia win 7.
kuhusu tatizo lako nadhani tatizo lipo kwenye Bit copatibility, em cheki bit , either 64 ama 32, ili ujue kama CD win 7 ni compatible na hiyo win 8 yako.kama cd na window zinatofautiana, inaweza kugoma.

win 8 ni nyepesi kuliko win 7.
 
win 8 ni nyepesi kuliko win 7.

tofauti ya wepesi ni ndogo. Brand new computer nyingi sasa zinakuja na win 8. na huwa zina cpu za wastani hadi 1.6Ghz, tofauti ni RAM ndizo zinawekwa kubwa. so hiyo speed sio mbaya.
 
if i were u nisingeitoa hiyo windows maana windows 8 ipo light na faster kuliko 7 kuna possibility pc yako ikawa slow baada ya hio downgrade

kwa samsung boot option unaipata kwa kubonyeza esc umejaribu?

yap! tofauti ya wepesi kati ya win 7 na win 8 ni ndogo sana. tena pengine win 8 ni nyepesi kuliko win 7
 
inachonifurahisha zaidi hii window haina haja ya kuinstal antiviruses,yenyewe tu ina built in antivirus ambayo ni windows defender na ipo poa sana
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom