kilambalambila
JF-Expert Member
- Nov 16, 2013
- 9,292
- 8,608
Inasaidia nn ukiwa expert?
''Aut Vincere Aut Mori''
''Aut Vincere Aut Mori''
Lini wamekuwa STAFF MEMBERS ??
Sent From My iDevice using Jamii Forums Auto-reply Mobile App
SijuiInasaidia nn ukiwa expert?
''Aut Vincere Aut Mori''
Mkuu JF mtaingia lini soko la hisa DSE!?..japo na sisi tuwekeze km ninyi!Karibu JF vitu vya kawaida sana hivyo
Nimeshakuwa expert memberPoa. Jipange kwa awamu ya pili
Mkuu umeniuliza swali utadhani mimi ni STAFF WA JF...hapana aisee mimi ni member kama wewe tu, mi sio moderatorMkuu JF mtaingia lini soko la hisa DSE!?..japo na sisi tuwekeze km ninyi!
Sent using Jamii Forums mobile app
DuuhNashukuru sana wakuu kwa mchango wenu, nimejiunga JF tarehe 30/08/2017 Leo hii nimekuwa Senior member kutoka kwenye Member...na Niko mbioni kupewa U-expert member
Karibu JF vitu vya kawaida sana hivyo
Mkuu vigezo vilivyotumika nadhani ni umaarufu ndani ya muda mfupi ikiwa ni pamoja na kukubalika katika kila jukwaa nililopanda,hususani Uzi maalum wa kupeana likes.Nataka kujua ni vigezo gani huwa vinatumika kupandisha vyeo humu
Asante sana mkuu..Sasa mimi ni expert member, nilipata baada ya Masaa mawili tangu nipewe cheo cha Senior member