Nimekuwa nikisikia wataalam mbali mbali wakisema kuwa vifo vingi vinatokana na utaratibu wa watu kutofanya check up za mala kwa mala,wanasema kuwa hata cancer ikigundulika mapema huweza kupona na magonjwa mengine mengi.
Sasa naomba kuuliza, inafaa kufanya check up kila baada ya muda gan? Na kipimo gan kinatumika kupima mwili mzima yan kila kitu? Gharama zinaweza fika hela ngapi? Hospital gan n nzuri kwa zoez hilo?
Thanx in advance
Sasa naomba kuuliza, inafaa kufanya check up kila baada ya muda gan? Na kipimo gan kinatumika kupima mwili mzima yan kila kitu? Gharama zinaweza fika hela ngapi? Hospital gan n nzuri kwa zoez hilo?
Thanx in advance