Ushimen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2012
- 37,191
- 85,289
Wakuu,
hali hii hunipata mara kwa mara panapo tokea mkwaruzano kwa Ke
ninaempenda. Hata kosa dogo tu nimekua nakasirika hadi mapigo ya moyo
huongezeka.
Je, nifanyeje ilikuepukana na hali hii?
Je, nihali ya kawaida kutokea kwa wapendanao?
Je, nimimi mwenye tatizohili tu?
Je, hali hii huweza kuniletea natatizo kiafya?
hali hii hunipata mara kwa mara panapo tokea mkwaruzano kwa Ke
ninaempenda. Hata kosa dogo tu nimekua nakasirika hadi mapigo ya moyo
huongezeka.
Je, nifanyeje ilikuepukana na hali hii?
Je, nihali ya kawaida kutokea kwa wapendanao?
Je, nimimi mwenye tatizohili tu?
Je, hali hii huweza kuniletea natatizo kiafya?