Unayo ww tuHabari wana jf,nimekuwa na tabia ya kutongoza ovyoovyo kila mwanamke ninae muona mate hunindoka naomba nijue tabia hii ni mimi tu,au kuna wenzangu na wanaonizidi mimi, nawasilisha,mapovu sitaki kafulie boxer au chupi za mkeo.
Habari wana jf,nimekuwa na tabia ya kutongoza ovyoovyo kila mwanamke ninae muona mate hunindoka naomba nijue tabia hii ni mimi tu,au kuna wenzangu na wanaonizidi mimi, nawasilisha,mapovu sitaki kafulie boxer au chupi za mkeo.
Usichoke kukwangua mkuu, kwangua Sana mpaka ufikie uchumi wa kati Kama ilani ya awamu ya tano inavyotaka.Wanakubali nikikwangua natafuta wengine..
Usichoke kukwangua mkuu, kwangua Sana mpaka ufikie uchumi wa kati Kama ilani ya awamu ya tano inavyotaka.
Habari wana jf,nimekuwa na tabia ya kutongoza ovyoovyo kila mwanamke ninae muona mate hunindoka naomba nijue tabia hii ni mimi tu,au kuna wenzangu na wanaonizidi mimi, nawasilisha,mapovu sitaki kafulie boxer au chupi za mkeo.
Mkuu wewe ni mdogo wake gwajima?Daa duniani kuna mambo!!! hapa shetani anakutafuta kwa mbinde zote kwa kutumia wachawi kwa sababu...
Kufanya mapenzi hovyo kuna wengine wana nuksi!! hutasonga kimaisha.
Ukimwi
Pangusa
Mikosi kaswende!
Ugoni
uvunjifu wa amri ya Mungu
Hatari ya kuuawa
Jua shetani ana kutamani siku nyingi hasa baada ya kujua una kitu ndani yako kizuri sasa shweitani anakichafua! kwa mikosi ya uzinzi utapanye kizazi cha kipaji chako huko na shetani anagema shahawa zako!
karibu shahawa zote zinakwenda kuzimu kuzalisha majini, mapepo na wachawi! baada ya kizazi chako kimoja utazaa wachawi tupu!! na kuendelea kurithisha! Kifupi utakuwa mchawi soon na hutakataa!!! dalili kubwa ni kuotaota visivyoeleweka!!
DrogbaMkuu wewe ni mdogo wake gwajima?
Ahaa, tafuta dawa inaitwa yokamushika, changanya na manii ya kada yeyote wa ccm kunywa, hutarudia hiyo mamboDrogba