CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
Habari za mchana huu wapendwa, ni muda mrefu nimekuwa nikinywa maji ya moto. Yaan 90% ya maji ya kunywa ninayokunywa ni ya moto. Nimekuwa zaidi ya mlevi, yaan hata nikipatwa kiu nikinywa maji ya baridi lazima nipate na ya moto!
Nimesikia ya kwamba maji ya moto yana madhara kama kukausha mwili, je ni kweli na je nitakuwa nimepata madhara kwa kunywa maji ya moto???
N.B. Maji ya moto ninayokunywa ni yale yaliyochemshwa yakapoa kidogo kiasi kwamba hayaunguzi mdomo.
Ushauri wenu ni muhimu sana kwangu.
Asanteni....
Nimesikia ya kwamba maji ya moto yana madhara kama kukausha mwili, je ni kweli na je nitakuwa nimepata madhara kwa kunywa maji ya moto???
N.B. Maji ya moto ninayokunywa ni yale yaliyochemshwa yakapoa kidogo kiasi kwamba hayaunguzi mdomo.
Ushauri wenu ni muhimu sana kwangu.
Asanteni....