djnehe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2013
- 679
- 209
ukiiona kwa macho UTAITAMBUA?
You made my day
ukiiona kwa macho UTAITAMBUA?
Pole sana.nadhani tatizo kubwa hapo ni kazi.cha kufanya tafuta kazi sehemu nyingine ikibidi mbali na hapo ukimpata Wa kukufaa oa mtakaa kwa amani bila hofu ya huyo sister,
OFSINI KWENU KUNA KOCHI
plz nijibu hili swali
Acha uongo na wewe
kiukweli kwa mara ya kwanza nliona kama bikra,lakin cku zilivyozidi kwenda nkahisi alinichezea akili hivi!!!!!
yeye so kwamba anaishi peke yake mkuu,ila kwa nafasi yake ktk taasisi anatumia miss mwingi sana ofisini,huwa anatoka muda wa Kula na Sala,that is the truth,though most of people will not agree with this,but U have to remember that these are human being just like others!!!
tatizo umejaa povu unajaribu kutetea kitu usichokijua,mimi sifahamu ratiba zao,lakini pia ukumbuke kuwa Huyu ninayemzungumzia ni binadamu,Ana hisia,na mwili wake hauna tofauti na miili ya wanawake wengine,sasa unapopayuka na kunijia juu ni kuinyima akili yako fursa ya kuchangnua mambo,swali langu kwako ni,je,unadhani kwamba mtu kuwa sista maana yake ni kwamba viungo vyake vya uzazi vimepooza??au unadhani hawa ni mfano wa malaika???