Nimekuvulia kofia Rais Magufuli, hongera sana

Brigedia Chan-ocha

JF-Expert Member
Mar 7, 2014
1,353
2,842
Heko JPM, sasa nakuvulia kofia, ni wazi kuwa sasa Kila mtu ndani ya CCM anakuogopa kama simba au chui, umefanikiwa kuwatikisa CCM na kupenyeza mambo yako uliyotaka yapite, na kweli yamepita, hongera sana.

JPM kafanikiwa kuwajengea nidhamu ya uoga wenzake ndani ya CCM na tabia hii kaitoa Serikalini huko ambako amefanikiwa kupenyeza ukali, hofu na hivyo kuogopwa sana, hakuna anayethubutu kuzungumza au kumpinga, mbali na January Makamba, kwa taarifa za ndani ya baraza la mawaziri, ndiye waziri pekee aliyethubutu kumpinga JPM katika moja ya mijadala.

Yaani JPM akitaka kufanya chochote kwa sasa anafanya, maana anajua kila kitu amefanikiwa, hata kwa wapinzania wetu wa UKAWA tayari wanamuogopa kama ukoma, si mnaona ile issue ya wabunge wa CCM waliotuhumiwa kuhongwa, mkwara wa JPM uliwanyamazisha hadi UKAWA.

Na kwa jinsi tunavyokwenda, baada ya JPM kufanikiwa kuwanyamazisha Wabunge, MAWAZIRI, UKAWA, CCM, sasa anatafuta wengine wa kuwanyamazisha kimya, hadi kufikia 2025 akitamka kuwa anataka agombee tena muhula wa Tatu kila mtu atakuwa kimya na kusema "Ndiyo Mzee"

Huyu ndiye JPM, Jeshi la mtu mmoja, kila mtu anakuogopa Baba, si familia tu, hadi wanaume wote hapa nchini, wewe ndiye kidume kwa sasa hapa nchini unayetamba. Tamba baba, ni wakati wako huu...

Nchi nzima ni hofu tupu.
 
Heko JPM, sasa nakuvulia kofia, ni wazi kuwa sasa Kila mtu ndani ya CCM anakuogopa kama simba au chui, umefanikiwa kuwatikisa CCM na kupenyeza mambo yako uliyotaka yapite, na kweli yamepita, hongera sana.

JPM kafanikiwa kuwajengea nidhamu ya uoga wenzake ndani ya CCM na tabia hii kaitoa Serikalini huko ambako amefanikiwa kupenyeza ukali, hofu na hivyo kuogopwa sana, hakuna anayethubutu kuzungumza au kumpinga, mbali na January Makamba, kwa taarifa za ndani ya baraza la mawaziri, ndiye waziri pekee aliyethubutu kumpinga JPM katika moja ya mijadala.

Yaani JPM akitaka kufanya chochote kwa sasa anafanya, maana anajua kila kitu amefanikiwa, hata kwa wapinzania wetu wa UKAWA tayari wanamuogopa kama ukoma, si mnaona ile issue ya wabunge wa CCM waliotuhumiwa kuhongwa, mkwara wa JPM uliwanyamazisha hadi UKAWA.

Na kwa jinsi tunavyokwenda, baada ya JPM kufanikiwa kuwanyamazisha Wabunge, MAWAZIRI, UKAWA, CCM, sasa anatafuta wengine wa kuwanyamazisha kimya, hadi kufikia 2025 akitamka kuwa anataka agombee tena muhula wa Tatu kila mtu atakuwa kimya na kusema "Ndiyo Mzee"

Huyu ndiye JPM, Jeshi la mtu mmoja, kila mtu anakuogopa Baba, si familia tu, hadi wanaume wote hapa nchini, wewe ndiye kidume kwa sasa hapa nchini unayetamba. Tamba baba, ni wakati wako huu...

Nchi nzima ni hofu tupu.

Ataishia CCM ndiyo sababu anashindwa hata kutamka CHADEMA anaishia kule kwa wale,maana yake anaogopa hadi kivuli chake mwenyewe
 
mpaka sisi wasaka ajira, wahanga wa maisha bora tumepigwa juju toka 2015 mpaka sasa!
Kwa kweli kila nikiangalia kiatu changu, nakumbuka shida zooote za kuitafuta ajira...
 
Wachafu wote wanakimbia ccm na kujiunga chadema.

Hongera Magufuli

Hivi Chenge ameshatoka CCM??Mzee wa pesa za Mboga.How about Lugumi wameshatoka??Na wale wenye tuhuma za madawa ya kulevya nchi jirani huko kuna Nchimbi,Nchemba,Ritzimoko,wameshatoka??

Hivi RC wa Dar kaisha sema utajiri wake ameupata wapi??

Usirushe mawe gizani litakuponda mwenyewe
 
Unajiita mwanaume huku unasifia kuogopeka kwa mwanaume mwenzako?
Huyo Magufuli kakutisha wewe na familia yako pamoja na hao Fisiemu baadhi yao,
Yaani kidume wewe anakushinda Sophia Simba kwa ujasiri? Ni haki sasa wanawake kuvaa suruari
 
Mbona hata yule dada wa US sijui anaitwa Mage au Mange anamshindwa?
 
Hivi Chenge ameshatoka CCM??Mzee wa pesa za Mboga.How about Lugumi wameshatoka??Na wale wenye tuhuma za madawa ya kulevya nchi jirani huko kuna Nchimbi,Nchemba,Ritzimoko,wameshatoka??

Hivi RC wa Dar kaisha sema utajiri wake ameupata wapi??

Usirushe mawe gizani litakuponda mwenyewe

Alipo pinga kukamatwa wabunge kwenye sakata la madawa
Chenge hakuwa Fisadi tena Bungeni
alikuwa nalaika!!
Kweli DAMPO LA UCHAFU NI CHADEMA
 
ivi Chenge ameshatoka CCM??Mzee wa pesa za Mboga.How about Lugumi wameshatoka??Na wale wenye tuhuma za madawa ya kulevya nchi jirani huko kuna Nchimbi,Nchemba,Ritzimoko,wameshatoka??
Muda si mrefu wanakuja HUKO CDM.....maana huko ndio mahala pa KUTUNZIA MAJIZI
 
Heko JPM, sasa nakuvulia kofia, ni wazi kuwa sasa Kila mtu ndani ya CCM anakuogopa kama simba au chui, umefanikiwa kuwatikisa CCM na kupenyeza mambo yako uliyotaka yapite, na kweli yamepita, hongera sana.

JPM kafanikiwa kuwajengea nidhamu ya uoga wenzake ndani ya CCM na tabia hii kaitoa Serikalini huko ambako amefanikiwa kupenyeza ukali, hofu na hivyo kuogopwa sana, hakuna anayethubutu kuzungumza au kumpinga, mbali na January Makamba, kwa taarifa za ndani ya baraza la mawaziri, ndiye waziri pekee aliyethubutu kumpinga JPM katika moja ya mijadala.

Yaani JPM akitaka kufanya chochote kwa sasa anafanya, maana anajua kila kitu amefanikiwa, hata kwa wapinzania wetu wa UKAWA tayari wanamuogopa kama ukoma, si mnaona ile issue ya wabunge wa CCM waliotuhumiwa kuhongwa, mkwara wa JPM uliwanyamazisha hadi UKAWA.

Na kwa jinsi tunavyokwenda, baada ya JPM kufanikiwa kuwanyamazisha Wabunge, MAWAZIRI, UKAWA, CCM, sasa anatafuta wengine wa kuwanyamazisha kimya, hadi kufikia 2025 akitamka kuwa anataka agombee tena muhula wa Tatu kila mtu atakuwa kimya na kusema "Ndiyo Mzee"

Huyu ndiye JPM, Jeshi la mtu mmoja, kila mtu anakuogopa Baba, si familia tu, hadi wanaume wote hapa nchini, wewe ndiye kidume kwa sasa hapa nchini unayetamba. Tamba baba, ni wakati wako huu...

Nchi nzima ni hofu tupu.
Hofu yangu kwa sasa huenda wabunge wa CCM wakapitisha bajeti mbovu kwa kuogopa kuitwa wasaliti
 
Hivi Chenge ameshatoka CCM??Mzee wa pesa za Mboga.How about Lugumi wameshatoka??Na wale wenye tuhuma za madawa ya kulevya nchi jirani huko kuna Nchimbi,Nchemba,Ritzimoko,wameshatoka??

Hivi RC wa Dar kaisha sema utajiri wake ameupata wapi??

Usirushe mawe gizani litakuponda mwenyewe



Funguweni milango mamvi kakaribisha wote waliofukuzwa hii movie inazidi noga .
 
Alipo pinga kukamatwa wabunge kwenye sakata la madawa
Chenge hakuwa Fisadi tena Bungeni
alikuwa nalaika!!
Kweli DAMPO LA UCHAFU NI CHADEMA

Mmemchagua kuwa Mwenyekiti wa Bunge huku Mkijua ni FISADI na MLA RUSHWA wa kutupwa mlitegemea Chadema wawili wazuie?Akili za kibashite hizi za kufungia karanga peleka Dodoma
 
wakati nasoma nilipatwa na hisia flani hivi kama hasira hivi.sijui Brigedia aliyeandika alijisikiaje.
 
Funguweni milango mamvi kakaribisha wote waliofukuzwa hii movie inazidi noga .

Kumkaribisha mtu kuwa mwanachama sioni ubaya,hajawa kiongozi bali amewakaribisha kama wanachama sioni ubaya.
 
Back
Top Bottom