Mzalendo_Mkweli
JF-Expert Member
- Jan 30, 2012
- 1,988
- 1,175
Huu ni upotoshaji mkubwa, ukiacha dawa pressure inarudi Juu na ikirudi awamu ya Pili Stroke inahusu.
Na huu ndo ujinga wanaofanya watanzania wengi.Nenda mahospitalini mjione watu wanavyopata vilema vya kukitakia
Mkuu Njunwa Wamavoko salami kwako. Naona kama una point mzuri sana, unaweza kuweka nyama kidogo katika maelezo yako.
Ahsante