Nimekutwa na tatizo la presha, msaada tafadhali wa dawa za asili za kutokomeza hii pesha

Hali ya uoga na hofu ya mazingira ya hospitali (white coat yale ambayo madaktari uvaa) ambayo upelekea vipimo vya BP kuwa juu kuliko kawaida yako. Lakini hii lazima iwe proved kwa mtu kuwa anafanya vipimo sehemu nyingine isiyo hospitali ili kudhiirisha kwamba ni white coat syndrome ama siyo.
Mkuu mimi tangu nimeanza kupima pressure hali hii inanikuta sijawahi kukutana na dokta nikawa na utulivu,wasiwasi na mawazo ya ghafla huwa yananikuta ,mpaka mapigo ya moyo wanakwenda kasi,yani nashindwa kurelax kabisa ,hadi nlifikia maamuzi ya kuacha kupima mara kwa mara,manake naweza nikapima nikakuta labda ipo 170 nikatulia kidogo kama dk 20 nikienda tena kwa dokta akipima anakuta ishafika mpaka 200/113 sasa sielewi kabisa
 
Mkuu mimi tangu nimeanza kupima pressure hali hii inanikuta sijawahi kukutana na dokta nikawa na utulivu,wasiwasi na mawazo ya ghafla huwa yananikuta ,mpaka mapigo ya moyo wanakwenda kasi,yani nashindwa kurelax kabisa ,hadi nlifikia maamuzi ya kuacha kupima mara kwa mara,manake naweza nikapima nikakuta labda ipo 170 nikatulia kidogo kama dk 20 nikienda tena kwa dokta akipima anakuta ishafika mpaka 200/113 sasa sielewi kabisa
Cognitive behavioral therapy inaweza kukusaidia kuondoa huo wasiwasi. Maana unachokisema kukutokea ni ugonjwa unaitwa anxiety. Anxiety na anxiety attacks uweka mwili kwenye ‘fight-or-flight’ mode na kuongeza mapigo ya moyo na hata msukumo wa damu kuwa mkubwa.
 
Back
Top Bottom