KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
UKIONA MPNZ WAKO ANAKUJIBU HIVI UJUE HATAKI MUWASILIANE NA YEYE HAPO MANAKE CHUKUA TIME UNAPOTEZA MUDA WAKO
SMS:sweet nimekukumbuka sana leo natamani tungekua
sote mida hi upo wap mpnz?
JIBU:nipo
SMS:yani nimekutafuta kweli mpnz ,mbona ulikua hupatikani line zote ,mwenzio cjalala nakufikilia ww my love umenimiss?
JIBU:simu iliisha charge
SMS:bby leo nakula chakula kizuri kitamu kweli cjui ww unakula nn. Natamani tungekua wote kalibu mpnz
JIBU:thank you
SMS:honey yaani ile parfume uliniletea inanukia harufu yake nakukumbuka wew
tena nakumbuka leo umetoka freshi na ile tshirt nilikununulia ukisoma hii sms unapata hisia gn
JIBU:tshirt inanibana
MAPENZ MZIGO MZITO AISEEE WE ACHA TU
SMS:sweet nimekukumbuka sana leo natamani tungekua
sote mida hi upo wap mpnz?
JIBU:nipo
SMS:yani nimekutafuta kweli mpnz ,mbona ulikua hupatikani line zote ,mwenzio cjalala nakufikilia ww my love umenimiss?
JIBU:simu iliisha charge
SMS:bby leo nakula chakula kizuri kitamu kweli cjui ww unakula nn. Natamani tungekua wote kalibu mpnz
JIBU:thank you
SMS:honey yaani ile parfume uliniletea inanukia harufu yake nakukumbuka wew
tena nakumbuka leo umetoka freshi na ile tshirt nilikununulia ukisoma hii sms unapata hisia gn
JIBU:tshirt inanibana
MAPENZ MZIGO MZITO AISEEE WE ACHA TU