Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Leo wakati nawahi kutafuta ridhiki nimekutana na hii kitu njiani karibu na shamba la mahindi mara kwa kwanza nilishtuka nikakumbuka kuna Yesu na Mtume nikataja jina la Yesu na Mtume Mohamed nikarudi tena kuchukua picha ya hii sufuria ndani yake mlikuwa na magome ya miti yai na maji kama unavyo ona. Hili advataizi naona mhusika anajua kwa nini ameweka tunguli hapo shambani kwa vile nimeaga Sumbawanga na nina mtegemea Yesu na Mtume Mohamed S.A.W naamini hakuna kitakacho nipata kwa kuangalia tunguli hiyo.