Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,646
- 35,972
Huku Tanzania ikipaa kiuchumi na sasa tuko kwenye uchumi wa kati.
Mwaka jana mwezi nimeusahau ila nikicheki kwenye kumbukumbu zangu ninaweza kujua mwezi,tarehe na hata saa nikiwa na wife tulipokuwa tunazuguka Kariakoo, nikasikia sauti nikiitwa kwa jina langu. Nikamwona kijana akinichangamkia.
Kumbe ni school mate kashikia mikanda 3 ronyaronya akiwarubuni watu kuwa ni ya ngozi. Ile mikanda inauzwa elfu 2 mmoja wao huuza elfu 3-5. Imagine mikanda 3 huo ni mtaji wa elfu 6.
Nilishindwa kuamini kuwa ni yeye maana nilipochati naye about 3 or 2 yrs back aliniambia yuko Chuo kikuu huko Iringa, nilishangaa kuwa ni yeye!
Nikamuuliza swali la mtego huku nikimuonea huruma. "Vipi Iringa umeondoka lini"? Akaniambia tangu mwaka juzi nilipomaliza Chuo. Nikajisikia hudhuni sana, nilimpa namba anitafute nimpige tafu hajanitafuta mpaka leo mwaka umepita.
Jana tena nimekutana na graduate mwingine niliyesoma naye O -level huku akiwa na kibegi chenye bidhaa chache na zisizo na thamani kubwa akielekea kazini Kariakoo, huyu anaonyesha utayari. Nitamsaidia kadri ya uwezo wangu.
Serikali mnatesa vijana, mtu asome Chuo Kikuu miaka 3 akauze mikanda barabarani Kariakoo?
Mwaka jana mwezi nimeusahau ila nikicheki kwenye kumbukumbu zangu ninaweza kujua mwezi,tarehe na hata saa nikiwa na wife tulipokuwa tunazuguka Kariakoo, nikasikia sauti nikiitwa kwa jina langu. Nikamwona kijana akinichangamkia.
Kumbe ni school mate kashikia mikanda 3 ronyaronya akiwarubuni watu kuwa ni ya ngozi. Ile mikanda inauzwa elfu 2 mmoja wao huuza elfu 3-5. Imagine mikanda 3 huo ni mtaji wa elfu 6.
Nilishindwa kuamini kuwa ni yeye maana nilipochati naye about 3 or 2 yrs back aliniambia yuko Chuo kikuu huko Iringa, nilishangaa kuwa ni yeye!
Nikamuuliza swali la mtego huku nikimuonea huruma. "Vipi Iringa umeondoka lini"? Akaniambia tangu mwaka juzi nilipomaliza Chuo. Nikajisikia hudhuni sana, nilimpa namba anitafute nimpige tafu hajanitafuta mpaka leo mwaka umepita.
Jana tena nimekutana na graduate mwingine niliyesoma naye O -level huku akiwa na kibegi chenye bidhaa chache na zisizo na thamani kubwa akielekea kazini Kariakoo, huyu anaonyesha utayari. Nitamsaidia kadri ya uwezo wangu.
Serikali mnatesa vijana, mtu asome Chuo Kikuu miaka 3 akauze mikanda barabarani Kariakoo?