Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Acheni uoga wa kishamba, nyie watu hamueleweki mkipewa warembo mnakimbia, mkipata ma house girl mnawakataa sasa warembo mnawalinganisha na majini...........

Shida sana hii.hauna kipaji cha kupata warembo. kwani hata kama ni jini unambadilisha. kila kitu ni huduma tu.
 
Habar zenu wadau

Naomba mnisaidie maana nipo njia panda sielewi nifanye nini. Waswahili wanasema mficha maradhi Kifo humuumbua.

Mimi sitaki kusubiri Kifo kinikute. Ileweke nimekuwa humu JF kwa muda mrefu, Mara nyingi nimekuwa msomaji tu, wa matukio ya watu, pamoja na kujielimisha, Mara chache sana nimekuwa nikichangia mijadala pale inapobidi. Hii ndio thread yangu ya kwanza. Hivyo sijaandika kwa ajili ya kuburudisha/kumtisha mtu, ninachokiwasilisha hapa Ni ukweli mtupu. Lengo na madhumuni Ni kupata ushauri na msaada pale inapobidi.

***** ****** ******** ******** ******
Iko hv, Mimi Ni mfanya biashara mdogo ninaejishughulisha na uuzaji wa nguo za kiume katika sehemu Fulani hv hp jijini DSM. Kiufupi Nina maduka mawili ya nguo za kiume, hiyo ndio ajira yangu inayonifanya niishi hapa mjini. Sasa mnamo Tar 27 Dec ya mwaka Jana (2018)nipo ktk moja ya ofisi yangu na endelea na majukumu yangu ya kawaida, tena nakumbuka ilikuwa siku ya alhamisi mida ya Kama saa 7 mchana kuelekea saa 8 hv, alikuwa mteja ambae Ni mwanamke ( Alikuwa mrembo sana, mweupe Ana asili Kama ya kiarabu hv) ila rafudhi Ni yakipemba. Kama kawaida nikawa namsikiliza, akaniambia nimchagulie nguo nzuri anataka ampelekee mme wake, Yani shati na suruali.
Wakati naendelea kumchagulia nikawa namuuliza anavaa size gani? Akacheka akasema yupo Kama wewe, kwa kila kitu...Tena akaongeza na kusema nguo nitakazo zipenda Mimi hata yy atazipenda.
Nikawa namtania, nikamwambia kwa jinsi ulivyomzur hvy nataman mume wako niwe Mimi, akaniuliza Kweli? Nikamwambia hakuna mwanaume chini ya jua anaweza kukukataa msichana mrembo Kama wote tukacheka.
Zoezi la kuchagua nguo likaendelea tukafanikiwa kupata nzuri akazipenda. Tumezoea wabongo tunapenda discount, lkn kwake ilikuwa ni tofauti, akauliza nikiasi gani alipe, nikamwambia akalipia bila kuomba punguzo la Bei Kama tulivyozoea kwa wateja walio wengi. Wateja wa namna hii hutokea ila ni marachache sana, hvy nilifurah maana inakuwaga bingo unapata faida nzur.
Nikiwa namfungia hz nguo, aliniuliza...umeoa? Nikamwambia hapana akacheka akasema, nilijua tu...huwez kuoa mapema 7bu unapenda pombe na wanawake wa aina tofauti tofauti, kifupi we Ni mzinifu. Hii ya pombe ilinistua kidogo, amejuaje mm nakunywa pombe, ila sikutaka kumuonesha hadharani.
Akaniambia, Kuna sehemu anaenda hvy akirudi atauputia mzigo wake, ila nimuhifadhie, akaniuliza huwa nafunga saa ngapi? Nikamwambia, akaniomba namba ya simu Kama sitojali nimpe ili Kama atachelewa anijulishe nisije chelewa kufunga kwa 7bu yake. Nami sikuona Tatizo, kwanza Ni mteja lakini pia Ni mrembo sana Kama tunavyojijua sisi wanaume, basi nikampa namba, akaaga na kuondoka.
************
Hapo ndipo kizazaa kilipoanza. Hata hapa naandika thread hii, Sina amani kabisa. Kufika mida ya Kama saa mbili na robo usiku, sms ikaingia kwenye simu yangu.inasema "Zawadi niliyo kununulia umeipenda"? Mmmh, mm nikahisi itakuwa mtu kakosea namba, coz ilitokea namba mpya, baada ya Kama dk 10 hv, ile namba iliyotuma sms ikawa inanipigia, kupokea nasikia sauti ya msichana, akaniuliza...mbona hujajibu sms yangu hau unapenda zawadi yangu, nikamuuliza unajua unaongea na Nan?
Akasema ndio Ni Fulani (akataja jina langu), nikashangaa nikamwambia mbona hakuna mtu nilimwagiza zawadi akasema, Tena umechagua na kuzijaribisha mwenyewe Mara hii umesahau? Akawa anacheka akaniuliza umeshanikumbuka? Nikamwambia ndio...nikamuuliza umejuaje jina langu wakati sikumtajia, (Nilimdanganya jina) Mara nyingi Sina destruri ya kukwambia jina langu la ukweli mtu nisie mjua, Hilo likanishangaza...nikachekecha akili nikahis labda ameangalia kwenye tigo pesa maana nilimpa namba ya tigo, swali lililozidi kuniumiza akili anawezaje kuja dukani kwangu kuninulia nguo Ikiwa hanifahamu, wakat aliniambia Ni za mumewe?
Nikamuuliza si ulisema unampelekea mumeo? Akaniambia kwani wewe hufai kuwa mume wangu? Akiwa anacheka, akaendelea.....na si ulisema hujaoa au ulinidanganya? Nikabaki na kigugumiz nisiamini ninachokisikia, akaniambia nimeamua kukutunuku. Usiku mwema, nitakuja kukutembelea siku nyingine akakata simu. Nikabaki na maswali chungu nzima, kupiga ile namba ikawa haipatikan...baada ya hapo ndio vitimbi vilipoanza.

Itaendelea.......

NB: Nimechoka kuandika nitaendelea kesho ila kiukweli mwezenu nipo njia panda sielew, mwaka nimeanza na mauzauza

Sehemu ya Pili



Sehemu ya Tatu




Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana mkuu. Kama hiki kisa ni cha kweli nakuomba uwaite manabii na mitume akina Mwingira, Mzee wa Upako na Kakobe waje wakuombee uondokane na hilo jini. Siku ulipomkabidhi zile nguo ulizovaa ndipo ulipofunga maagano na jini wako.
 
Hii ndio thread yangu ya kwanza.
Mkuu unasema hii ndio thread yako ya kwanza mbona ulishaanzisha thread nyingi tu? Tutaiaminije thread yako hii?
1549902126896.png
 
Nimeshapatiwa msaada wa maombi... namshukuru Mungu nw Nina amani kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app


aisee spiritual wife ni shida sana, hongera kwakuwa umefanyiwa deliverance ulimwengu wa roho ni halisi kabisa wanobeza hayajawakuta, na wengine wanao spiritual wife ambao hawajaja physically kama wewe alivyokuja wengi wanaota ndoto zakufanya mapenzi lakini wanadhani nikawaida. usirudi nyuma ukirudi kwenye njia za mwanzo tu umekwisha biblia imeandika pepo mchafu amtokapo mtu anazunguka zunguka halafu hurudi kuangalia alikotoka akikuta ni safi pamefagiliwa anaalika wenzie saba so jitahidi kuishi maisha matakatifu
 
Hii story ikitengenezewa movie itakuwa mzuri sana!
Kama hiki kisa ni cha kweli basi moja kwa kosa kubwa sana ni kuvaa zile nguo kisha kumkabidhi...

Cha msingi nenda kwa Viongozi wa dini watakuombea!

Sent from my itel P51 using JamiiForums mobile app
 
D

Nihatar mkuu. Nilikuwa nahadisiwa tu kumbe hv vitu vipo

Sent using Jamii Forums mobile app



Hii chai sukari yake iko kawaida sana umejitahidi



Nafikir ww unaweza kunielewa Ni kitu gani nazungumzia Ni wiki mbili tu, ila mambo ninayo kutana nayo...sijapata kuona maishani mwangu

Sent using Jamii Forums mobile app



Anavunja nazi

Sent using Jamii Forums mobile app



Sent using Jamii Forums mobile app
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Story za kishigongo hizi, hii ni ya kutunga kabisa 100%

Anyway, ww mwanaume una roho ya uoga uoga hivyo utaishi wapi? Na kamwe hutaona maendeleo..

Ushauri: Mwanaume unatakiwa kuwa na roho na moyo mgumu kuliko shetani, huwaga hata shetani akijua mwanaume una roho na moyo mgumu kuliko yeye anakimbia kufa kupona, mm siamini dini sana wala ushirikina hata kidogo, ingawa najua upo..
Ingekuwa mm, wala singemjibu huyo dada vibaya, ningemuomba tuonane sehemu tuwe wawili, i swear atakuwa nyamafu in seconds, tena jioni jioni hv, namtoa kabisa duniani, i swear again, in pieces, sitanii, ukuda sifanyi mm, hata aje na nani, namtoa shingo paaap, yaani akipona hapo kwa bahati sijui nisemeje, atakimbia kufa asijue pa kwenda, na labda akibahatika kupona navyosema, namtumia tena sms nzuri na cool naomba tuonane basi mbona ulikimbia jamani, yaani hataona what happened, shetani kabisa huyo, wallaah naapa, ole wake..👺😠🔫🔪🗿 napiga vibaya uuuh..!!
 
Nimefurahia hii part, Mungu aendelee kuweka ulinzi wake kwako.
Habari za muda huu wanajamvi.

Kipekee nipende kumshukuru Mungu wa wingi wa rehema na upendo ukubwa alio uonesha kwangu.

Kiukweli..nilikuwa katika kipindi kigumu sana katika maisha yangu pamoja na Familia yangu kwa ujumla.
Tatizo nililokuwa nalo halikuwa dogo, ingawaje wengi walibeza wakiamini ni story tu ya kutunga. Hapana, labda niseme kitu kimoja....katika maisha yangu sikuwahi kuwa karibu na Mungu kama nilivyokuwa kipindi hiki Cha haya matatizo. Nimejua vitu vingi kuhusiana na ulimwengu wa roho....hivi vitu vipo na tunaishi navyo, siku Mungu akinijalia uzima nitakuwa nuvielezee kwa mapana yake.
Hii dunia tunaishi kwa kusudi la Mungu...shetani anatuwinda kila kukicha ili aweze kutuangamizi. Hakuna jini mzuri (pepo) kama watu wasemavyo...majini wote ni wabaya(waharibifu) wapo kwa ajili ya mpango wa shetani, inatambulika wazi shetani hana jema kwa mwanadamu,...anaweza akaja kwa namna nzuri lakini ndani ana malengo mabaya juu yako. Na vitu hivi (majini/pepo) vinamfwata mtu mwenye nguvu/ imara maana vinajua kupitia yeye vinaweza kuangusha kundi kubwa la watu nyuma yake.
Kama mnakumbuka niliwahi waambia mm ndio msaada/tegemezi kwenye familia yangu...wadogo zangu wamesoma na kuishi kupitia Mimi, hivyo...jini alienifata alikuja kuangamiza familia na si mimi peke yangu.
Namshukuru Mungu Sana sana kwa kupitia watumishi wake ameweza kuninasua kwenye vifungo vizito sana vilivyofungwa kuzimu na duniani...juu yangu na familia yangu.

Ndugu zangu...msaada pekee katika dunia hii ni Mungu...msijidanganye kwa vyeo, Mali, rangi, nguvu au chochote mlichonacho Muda na saa yoyote shetani anaweza kuviharibu kama Mungu hatokua ndani yako. Sasa hivi ni Mzima na salama mimi na familia yangu.
Pia niwaombe radhi kwa wale niliowakwaza kwa namna yoyote ile kuanzia mwanzo mpk mwisho wa thread hii Mungu awabariki Sana.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora hata wewe umestuka mapema, mm nimnywaji wa pombe yani story yako zinaendana somehow na yangu..mpaka usingizi umekatika..nilikua kila nikikaa nae jionj nikitoka kibaruani naona mauza uza ya kishenzi..siku alipotaka tukalale tukapiga kinywaji akasema muda umeenda twende kwangu ulale asubuhi uamke uende kazini..aiseee! Pombe ilikata..nikakurupuka nikawa naanza kuvaa nguo..ardhi ya mule chumbani ikawa ina cheza cheza..inshort nilipotaka taa izimwe alinyoosha mguu na mpaka switch ilipo ni parefu kwenye kale kagiza nilimuona akibadilika uso mara sura hii mara ile nikawasha taa..alinibadilikia..nikalazimisha kuondoka kwani nilifika mbali sasa? Kitu cha fisi wawili wananifuata..giza totoro..milio ya wanyama..hapo ni mikocheni b dsm..ukiwa kijana una kipato na una muonekano flani ni shida sana..mungu akutangulie brother, natamani tuonane ! Hapa nahema nikiwaza nilivoteseka, kazi nikapoteza na aliniapia wakati namkataa nilimwambia sikuelewi..yani dahh nakuonea huruma..af hua wana access na simu wanajua unawasiliana na nani..
mh sio magunia haya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vipi ushamleta Lisa chako mkuu? Naomba unitag
Umenikumbusha niliwahi vagaa mrembo kariakoo kitimtimu kwenye kulala baada ya wiki..nikataka kuzima taa nilichokiona sitokaa nisahau mpaka nakufa..haya mambo yapo jamani..omba sana mungu, naona dalili za kufilisika kwako' be very careful..mm huyo msichana hata sijui ilikuaje ila nilikutanishwa na mtu ambae akataka kunitambulisha kwa huyo bi dada mwenye maduka kariakoo..ili tufanye joint venture..nimeteseka mnooo kuanzia 2016..ipo siku ntakuja na mkasa wake, ila naona downfall yako..si mtu mzuri huyo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habar zenu wadau

Naomba mnisaidie maana nipo njia panda sielewi nifanye nini. Waswahili wanasema mficha maradhi Kifo humuumbua.

Mimi sitaki kusubiri Kifo kinikute. Ileweke nimekuwa humu JF kwa muda mrefu, Mara nyingi nimekuwa msomaji tu, wa matukio ya watu, pamoja na kujielimisha, Mara chache sana nimekuwa nikichangia mijadala pale inapobidi. Hii ndio thread yangu ya kwanza. Hivyo sijaandika kwa ajili ya kuburudisha/kumtisha mtu, ninachokiwasilisha hapa Ni ukweli mtupu. Lengo na madhumuni Ni kupata ushauri na msaada pale inapobidi.

***** ****** ******** ******** ******
Iko hv, Mimi Ni mfanya biashara mdogo ninaejishughulisha na uuzaji wa nguo za kiume katika sehemu Fulani hv hp jijini DSM. Kiufupi Nina maduka mawili ya nguo za kiume, hiyo ndio ajira yangu inayonifanya niishi hapa mjini. Sasa mnamo Tar 27 Dec ya mwaka Jana (2018)nipo ktk moja ya ofisi yangu na endelea na majukumu yangu ya kawaida, tena nakumbuka ilikuwa siku ya alhamisi mida ya Kama saa 7 mchana kuelekea saa 8 hv, alikuwa mteja ambae Ni mwanamke ( Alikuwa mrembo sana, mweupe Ana asili Kama ya kiarabu hv) ila rafudhi Ni yakipemba.

Kama kawaida nikawa namsikiliza, akaniambia nimchagulie nguo nzuri anataka ampelekee mme wake, Yani shati na suruali. Wakati naendelea kumchagulia nikawa namuuliza anavaa size gani? Akacheka akasema yupo Kama wewe, kwa kila kitu. Tena akaongeza na kusema nguo nitakazo zipenda Mimi hata yy atazipenda.

Nikawa namtania, nikamwambia kwa jinsi ulivyomzur hvy nataman mume wako niwe Mimi, akaniuliza Kweli? Nikamwambia hakuna mwanaume chini ya jua anaweza kukukataa msichana mrembo Kama wote tukacheka.
Zoezi la kuchagua nguo likaendelea tukafanikiwa kupata nzuri akazipenda. Tumezoea wabongo tunapenda discount, lkn kwake ilikuwa ni tofauti, akauliza nikiasi gani alipe, nikamwambia akalipia bila kuomba punguzo la Bei Kama tulivyozoea kwa wateja walio wengi. Wateja wa namna hii hutokea ila ni marachache sana, hvy nilifurah maana inakuwaga bingo unapata faida nzur.

Nikiwa namfungia hz nguo, aliniuliza...umeoa? Nikamwambia hapana akacheka akasema, nilijua tu...huwez kuoa mapema 7bu unapenda pombe na wanawake wa aina tofauti tofauti, kifupi we Ni mzinifu. Hii ya pombe ilinistua kidogo, amejuaje mm nakunywa pombe, ila sikutaka kumuonesha hadharani.

Akaniambia, Kuna sehemu anaenda hvy akirudi atauputia mzigo wake, ila nimuhifadhie, akaniuliza huwa nafunga saa ngapi? Nikamwambia, akaniomba namba ya simu Kama sitojali nimpe ili Kama atachelewa anijulishe nisije chelewa kufunga kwa 7bu yake. Nami sikuona Tatizo, kwanza Ni mteja lakini pia Ni mrembo sana Kama tunavyojijua sisi wanaume, basi nikampa namba, akaaga na kuondoka.

************

Hapo ndipo kizazaa kilipoanza. Hata hapa naandika thread hii, Sina amani kabisa. Kufika mida ya Kama saa mbili na robo usiku, sms ikaingia kwenye simu yangu.inasema "Zawadi niliyo kununulia umeipenda"? Mmmh, mm nikahisi itakuwa mtu kakosea namba, coz ilitokea namba mpya, baada ya Kama dk 10 hv, ile namba iliyotuma sms ikawa inanipigia, kupokea nasikia sauti ya msichana, akaniuliza...mbona hujajibu sms yangu hau unapenda zawadi yangu, nikamuuliza unajua unaongea na Nan?

Akasema ndio Ni Fulani (akataja jina langu), nikashangaa nikamwambia mbona hakuna mtu nilimwagiza zawadi akasema, Tena umechagua na kuzijaribisha mwenyewe Mara hii umesahau? Akawa anacheka akaniuliza umeshanikumbuka? Nikamwambia ndio...nikamuuliza umejuaje jina langu wakati sikumtajia, (Nilimdanganya jina) Mara nyingi Sina destruri ya kukwambia jina langu la ukweli mtu nisie mjua, Hilo likanishangaza...nikachekecha akili nikahis labda ameangalia kwenye tigo pesa maana nilimpa namba ya tigo, swali lililozidi kuniumiza akili anawezaje kuja dukani kwangu kuninulia nguo Ikiwa hanifahamu, wakat aliniambia Ni za mumewe?

Nikamuuliza si ulisema unampelekea mumeo? Akaniambia kwani wewe hufai kuwa mume wangu? Akiwa anacheka, akaendelea.....na si ulisema hujaoa au ulinidanganya? Nikabaki na kigugumiz nisiamini ninachokisikia, akaniambia nimeamua kukutunuku. Usiku mwema, nitakuja kukutembelea siku nyingine akakata simu. Nikabaki na maswali chungu nzima, kupiga ile namba ikawa haipatikan...baada ya hapo ndio vitimbi vilipoanza.

Itaendelea.......

NB: Nimechoka kuandika nitaendelea kesho ila kiukweli mwezenu nipo njia panda sielew, mwaka nimeanza na mauzauza

Sehemu ya Pili



Sehemu ya Tatu





Sent using Jamii Forums mobile app
Blaza alikupa 320000 Hebu Weka namba zake za simu hapa watu wachangamkie fursa
 
Sasa hii uichukue uwapelekee bongo movie wakutengenezee picha lake. Utapenda mwenyewe hizo harakati za jini Mwanaisha. Unaambiwa jini atavaa shuka nyeusi na nyekundu, atakuwa na mikucha mirefuuu, wakati huu tunaambiwa jini ni bonge la toto na ana chura, ila wa bongo movie atakuwa mrefu na vikalio ka ngumi.
 
Unajitesa tu. Yupo mfalme wa wafalme, mwanaume wa wanaume. Hata majini yakimuona huwa yanakimbia. Nae ni Yesu. Ukimtumaini yeye. Hakika jaribu lako ni dogo sana

Sent using samsung galaxy grand prime pro
Ni lini majini yalimkimbia Yesu?
 
Habar zenu wadau

Naomba mnisaidie maana nipo njia panda sielewi nifanye nini. Waswahili wanasema mficha maradhi Kifo humuumbua.

Mimi sitaki kusubiri Kifo kinikute. Ileweke nimekuwa humu JF kwa muda mrefu, Mara nyingi nimekuwa msomaji tu, wa matukio ya watu, pamoja na kujielimisha, Mara chache sana nimekuwa nikichangia mijadala pale inapobidi. Hii ndio thread yangu ya kwanza. Hivyo sijaandika kwa ajili ya kuburudisha/kumtisha mtu, ninachokiwasilisha hapa Ni ukweli mtupu. Lengo na madhumuni Ni kupata ushauri na msaada pale inapobidi.

***** ****** ******** ******** ******
Iko hv, Mimi Ni mfanya biashara mdogo ninaejishughulisha na uuzaji wa nguo za kiume katika sehemu Fulani hv hp jijini DSM. Kiufupi Nina maduka mawili ya nguo za kiume, hiyo ndio ajira yangu inayonifanya niishi hapa mjini. Sasa mnamo Tar 27 Dec ya mwaka Jana (2018)nipo ktk moja ya ofisi yangu na endelea na majukumu yangu ya kawaida, tena nakumbuka ilikuwa siku ya alhamisi mida ya Kama saa 7 mchana kuelekea saa 8 hv, alikuwa mteja ambae Ni mwanamke ( Alikuwa mrembo sana, mweupe Ana asili Kama ya kiarabu hv) ila rafudhi Ni yakipemba.

Kama kawaida nikawa namsikiliza, akaniambia nimchagulie nguo nzuri anataka ampelekee mme wake, Yani shati na suruali. Wakati naendelea kumchagulia nikawa namuuliza anavaa size gani? Akacheka akasema yupo Kama wewe, kwa kila kitu. Tena akaongeza na kusema nguo nitakazo zipenda Mimi hata yy atazipenda.

Nikawa namtania, nikamwambia kwa jinsi ulivyomzur hvy nataman mume wako niwe Mimi, akaniuliza Kweli? Nikamwambia hakuna mwanaume chini ya jua anaweza kukukataa msichana mrembo Kama wote tukacheka.
Zoezi la kuchagua nguo likaendelea tukafanikiwa kupata nzuri akazipenda. Tumezoea wabongo tunapenda discount, lkn kwake ilikuwa ni tofauti, akauliza nikiasi gani alipe, nikamwambia akalipia bila kuomba punguzo la Bei Kama tulivyozoea kwa wateja walio wengi. Wateja wa namna hii hutokea ila ni marachache sana, hvy nilifurah maana inakuwaga bingo unapata faida nzur.

Nikiwa namfungia hz nguo, aliniuliza...umeoa? Nikamwambia hapana akacheka akasema, nilijua tu...huwez kuoa mapema 7bu unapenda pombe na wanawake wa aina tofauti tofauti, kifupi we Ni mzinifu. Hii ya pombe ilinistua kidogo, amejuaje mm nakunywa pombe, ila sikutaka kumuonesha hadharani.

Akaniambia, Kuna sehemu anaenda hvy akirudi atauputia mzigo wake, ila nimuhifadhie, akaniuliza huwa nafunga saa ngapi? Nikamwambia, akaniomba namba ya simu Kama sitojali nimpe ili Kama atachelewa anijulishe nisije chelewa kufunga kwa 7bu yake. Nami sikuona Tatizo, kwanza Ni mteja lakini pia Ni mrembo sana Kama tunavyojijua sisi wanaume, basi nikampa namba, akaaga na kuondoka.

************

Hapo ndipo kizazaa kilipoanza. Hata hapa naandika thread hii, Sina amani kabisa. Kufika mida ya Kama saa mbili na robo usiku, sms ikaingia kwenye simu yangu.inasema "Zawadi niliyo kununulia umeipenda"? Mmmh, mm nikahisi itakuwa mtu kakosea namba, coz ilitokea namba mpya, baada ya Kama dk 10 hv, ile namba iliyotuma sms ikawa inanipigia, kupokea nasikia sauti ya msichana, akaniuliza...mbona hujajibu sms yangu hau unapenda zawadi yangu, nikamuuliza unajua unaongea na Nan?

Akasema ndio Ni Fulani (akataja jina langu), nikashangaa nikamwambia mbona hakuna mtu nilimwagiza zawadi akasema, Tena umechagua na kuzijaribisha mwenyewe Mara hii umesahau? Akawa anacheka akaniuliza umeshanikumbuka? Nikamwambia ndio...nikamuuliza umejuaje jina langu wakati sikumtajia, (Nilimdanganya jina) Mara nyingi Sina destruri ya kukwambia jina langu la ukweli mtu nisie mjua, Hilo likanishangaza...nikachekecha akili nikahis labda ameangalia kwenye tigo pesa maana nilimpa namba ya tigo, swali lililozidi kuniumiza akili anawezaje kuja dukani kwangu kuninulia nguo Ikiwa hanifahamu, wakat aliniambia Ni za mumewe?

Nikamuuliza si ulisema unampelekea mumeo? Akaniambia kwani wewe hufai kuwa mume wangu? Akiwa anacheka, akaendelea.....na si ulisema hujaoa au ulinidanganya? Nikabaki na kigugumiz nisiamini ninachokisikia, akaniambia nimeamua kukutunuku. Usiku mwema, nitakuja kukutembelea siku nyingine akakata simu. Nikabaki na maswali chungu nzima, kupiga ile namba ikawa haipatikan...baada ya hapo ndio vitimbi vilipoanza.

Itaendelea.......

NB: Nimechoka kuandika nitaendelea kesho ila kiukweli mwezenu nipo njia panda sielew, mwaka nimeanza na mauzauza

Sehemu ya Pili



Sehemu ya Tatu





Sent using Jamii Forums mobile app
nitext inbox nikupe namba ya mtu atakayekusaidia
 
Kaka...bado unahitaj namba za Mwanaisha Mohammed?
puker Kama bado hujapata utatuzi wa shida yako fika Vuka Yordani, Ngaramtoni, Arusha kwa Askofu Elibariki Sumbe. Nakuhakikishia utafunguliwa na utakuwa huru. Huduma zote za maombezi na kufunguliwa zinatolewa bure kwa ajili ya utukufu wa Mungu pekee.
 
75 Reactions
Reply
Back
Top Bottom