Dividend
JF-Expert Member
- Jan 15, 2017
- 2,080
- 3,261
Hii mbona ni ile nyimbo wa mheshimiwa temba ya side mnyamwezi!Unataka the truth sikiliza mwaya wanaotokewagwa na majini ni malaya kweli.
Kuna mtu kaniadithia jambo sio nzuri.
Kuna mkaka mahali alikuwa malaya anachezea watu siku moja ijioni mida 12:00 ijioni akapendwa na msichana mmoja mzuri mweupe yeye hajaangalia chini.
Kila akiwa anaenda naye watu wanadai mbona huyu jamaa haoni demu wake anakwato ila yule kaka akiangalia chini anaona sio kwato anaona ni viatu vyeusi virefu.
Sasa jiulize wanaelekea wapi walipokutana yule dada alidai anampenda yule msichana napia akadai anampenda ili wasicheleweshane yule dada akaja kutoa suggestion akamwambia yule kaka twende kwangu na ndio safari ikaanza .
Baada ya muda mfupi yule kaka akapelekwa kwa nyumba ya yule dada .
Yule kaka akaona nipazuri kama nini .
Sasa yule kaka akavua nguo haraka na yule dada .
Kidogo taa ikazimwa wakaendela hadi asubuhi.
Yule kaka anasimulia mida ya saa nne huku akiwa naendelea kugara gara kwa mapenzi mazuri na matamu kumbe hakuwa yupo nyumbani kwa yule dada no yupo kwenye kaburi zuri lililorembwa tena uchi.
Alizindukaje watu walikuja na mganga wao kufanya yao kwenye moja ya makaburi ya wapendwa wao.
Ndio wakamwona wakaanza kumuamsha awaeleze kulikoni yupo kaburini uchi.
Ndio alipoamka akaelezea nini kilichomtokea nguo zake zilikutwa sehemu tofauti boxer na suruali ipo kwenye msalaba umetundikwaa.
Halafu fulana na shati limekutwa juu ya kamti .
So akavaa kwa aibu kaaondoka bila kuaga.
So wanaume becareful huu umalaya wenu mtalala siku moja na wanyonya damu.
Nimewasilisha.