Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Unataka the truth sikiliza mwaya wanaotokewagwa na majini ni malaya kweli.
Kuna mtu kaniadithia jambo sio nzuri.
Kuna mkaka mahali alikuwa malaya anachezea watu siku moja ijioni mida 12:00 ijioni akapendwa na msichana mmoja mzuri mweupe yeye hajaangalia chini.
Kila akiwa anaenda naye watu wanadai mbona huyu jamaa haoni demu wake anakwato ila yule kaka akiangalia chini anaona sio kwato anaona ni viatu vyeusi virefu.
Sasa jiulize wanaelekea wapi walipokutana yule dada alidai anampenda yule msichana napia akadai anampenda ili wasicheleweshane yule dada akaja kutoa suggestion akamwambia yule kaka twende kwangu na ndio safari ikaanza .
Baada ya muda mfupi yule kaka akapelekwa kwa nyumba ya yule dada .
Yule kaka akaona nipazuri kama nini .
Sasa yule kaka akavua nguo haraka na yule dada .
Kidogo taa ikazimwa wakaendela hadi asubuhi.
Yule kaka anasimulia mida ya saa nne huku akiwa naendelea kugara gara kwa mapenzi mazuri na matamu kumbe hakuwa yupo nyumbani kwa yule dada no yupo kwenye kaburi zuri lililorembwa tena uchi.
Alizindukaje watu walikuja na mganga wao kufanya yao kwenye moja ya makaburi ya wapendwa wao.
Ndio wakamwona wakaanza kumuamsha awaeleze kulikoni yupo kaburini uchi.
Ndio alipoamka akaelezea nini kilichomtokea nguo zake zilikutwa sehemu tofauti boxer na suruali ipo kwenye msalaba umetundikwaa.
Halafu fulana na shati limekutwa juu ya kamti .
So akavaa kwa aibu kaaondoka bila kuaga.
So wanaume becareful huu umalaya wenu mtalala siku moja na wanyonya damu.
Nimewasilisha.
Hii mbona ni ile nyimbo wa mheshimiwa temba ya side mnyamwezi!
 
Umeona???
20190111_171805.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ngoja niseme kitu kidogo ili mwenye kuona aone.

Hivi mnafikiri ufalme wa shetani umefitinika?? Eti uumwe au upagawe na Mapepo halafu uende kwa mganga alitoe pepo wapi na wapi???

Ambacho waganga wanafanya kwa watu ni hiki. Anakupatia Pepo kubwa ambalo linakuja na kulitiisha au kulituliza lile dogo ulilonalo kwa hiyo wewe utaona kuwa tatizo limekwisha kumbe ndio una hali mbaya zaidi. Haya mambo ni ya kiroho na huwezi kugundua kitu. Ili uweze kumudu hili pepo nalo linakuja na masharti yake ambayo mganga anakupa. Ukiyashindwa au ukikiuka hayo masharti utakipata cha Moto kwani hali yako itakuwa mbaya zaidi.

Kitu pekee na suluhisho la kweli ni Mungu basii. Walipitia hayo au hata washirikina wanaosoma haya wanajua kama hii ni kweli.

Ufalme wa shentani haujawahi kufitinika. Kamwe Pepo hawezi kumtoa pepo mwenzake. Yesu alisema hivi.

Mathayo 12:24-28
[24]Lakini Mafarisayo waliposikia, walisema, Huyu hatoi pepo, ila kwa Beelzebuli mkuu wa pepo.
[25]Basi Yesu akijua mawazo yao, akawaambia, Kila ufalme ukifitinika juu ya nafsi yake, hufanyika ukiwa; tena mji au nyumba yo yote ikifitinika juu ya nafsi yake, haitasimama.
[26]Na Shetani akimtoa Shetani, amefitinika juu ya nafsi yake; basi ufalme wake utasimamaje?
[27]Na mimi nikitoa pepo kwa Beelzebuli, je! Wana wenu huwatoa kwa nani? Kwa sababu hiyo hao ndio watakaowahukumu.
[28]Lakini mimi nikitoa pepo kwa Roho wa Mungu, basi ufalme wa Mungu umekwisha kuwajilia.

Kwa hiyo dawa ya hayo mapepo ni Roho wa Mungu pekee
 
Back
Top Bottom