Nimekutana na mwanamke wa ajabu, naanza kuingiwa na hofu walimwengu nisaidieni

Akim mwagisha maji bila shaka jamaa ataamua atakacho.

Majini na bina adam ni viumbe 2 tofati ukiweza kulikimbia jini kimbia kabisa ni mahiribifu tu na yanatuonea vivu tunafaidi vilivyomo bola kujificha likifata binadam ujue ndo shetani hilo lifukuze kila uwezavyo
Yah sure ushauri mzuri. Hapo akimgonga vizuri Sasa yeye ndo atakuwa anamkontrol anatake power rasmi. Akizingua anamwambia tu kuwa hamgongi Tena hapo lazima demu awe mdogo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nashukuru kwa ushauri wako mzuri mkuu, kwanza nipende kubainisha hili mm Ni mkristo kamaili naamini katika Yes kristo, hv ninavyoongea naendelea na huduma ya maombezi kwa Hali niliyokuwa nayo mwanzo nisingeweza hata kuandika uzi huu, Maombi ndio yamenipa ulinzi na nguvu juu ya Vita kubwa niliyonayo kwa Sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mwamba kumbe bdo uko alive,, kuna mdau ametoa ushaur kuhusu matumizi ya chumvi, unaeza ukajaribu pia

btw pole sana, evil is always there seeking for souls

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekuelewa,sina maana we ni mpigaji ila nnacho maanisha ni kuwa ujikague vzr km wamekutatulia hili tatizo permanently,in the near future unaweza jikuta kwny utata coz hawa watu hawaendagi just kwa mtu yeyote wakija kwako ujue kuna something special unacho wanakiwinda so usipokubaliana nao na usiwe na ulinzi watakuangamiza kaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Una muogopa jinni?
 
Sasa ntajuaje kwamba wameondoka permanently?? Its true kwa sasa sioni heka heka.zao ila kuna nyakati hua nahisi wananifuata kuna hali naisikia na kuihisi..nadhani hapo ndo changamoto kwamba najuaje wameondoka mazima, natambua kua ni ving'ang'anizi hawakubali kushindwa, sasa Najuaje kama wameondoka mazima????
Ukifanyiwa Ruqya kuna dawa unapewa za kutumia ndani ya mwili wako na nje ya mwili wako. Jinni akikupenda ama akikuvaa kuna vitu anaweka ndani ya mwili wako. Uwe eneo la wapi au uwe unafanyiwa maombi ya kuondolewa hilo jinni, wewe hata kama uwe Tanzania na huyo Jinni yupo Japan, anafahamu kama himaya yake imevamiwa kwa hiyo anakuja kwa kasi. Kwa sababu kuna vitu ameweka mwilini mwako kwake yeye vinakuwa ni kama Radar.

Kwa hiyo kama umefanyiwa kisomo cha ruqya unapewa na dawa vilevile za kutumia ndani ya mwili wako ili kuiharibu vitu alivyoweka ndani ya mwili wako. Inaweza kuwa ya kunywa n.k na dawa nyengine ni za nje ya mwili wako ili akikuona akikugusa tu anaungua. Hizi dawa huwa zinachanganywa na mafuta ya mgando na muathirika wa majinni anapakaa kama mtu wa kawaida anavyopakaa mafuta. Lakini kwenye hizi dawa kila mtu ana aina ya matibabu. Kingine unasomewa dua ya kukukinga wewe. Iwe shari itoke magharibi ya dunia au mashariki yake na kaskazini na kusini yake Mungu akulinde nazo.

Mwisho kabisa unapewa masharti, nayo ni ujiepushe na maasi yatakayokufanya uwe mbali na ulinzi wa Mungu.

Na kuna dawa nyengine ni za kujipaka sehemu za tundu za pua, masikioni, kwenye vidole vya mikono na miguu, kwenye macho kwa juu yake na sehemu nyengine. Na mafuta yanayotumika hapa ni mchanganyiko wa mafuta ya Mzaituni, mafuta ya ndimu na mengineyo.

Ila fahamu ya kwamba hizo dawa huwa zinasomewa kisomo cha kujikinga dhidi ya uchawi unaosababishwa na majinni na binadamu.
 
Hahahaa! Same here.

Uchawi haupo. Watu huwa wanatishana tu.

Ila nimegundua kuwa uwezo wa mtu wa ku imagine mambo una nguvu sana.

Maana mtu anaweza aka imagine mambo kichwani mwake halafu akajishawishi kuwa hicho anacho ki imagine ndo ukweli, ndo uhalisia. Kumbe ni cha kufikirika tu.

Ndo na uchawi uko hivyo hivyo. Ni mambo ya kufikirika tu yasiyo na uhalisia wowote ule.

UCHAWI HAUPO!
Je unaamini kuna Mungu?
 
Unataka the truth sikiliza mwaya wanaotokewagwa na majini ni malaya kweli.
Kuna mtu kaniadithia jambo sio nzuri.
Kuna mkaka mahali alikuwa malaya anachezea watu siku moja ijioni mida 12:00 ijioni akapendwa na msichana mmoja mzuri mweupe yeye hajaangalia chini.
Kila akiwa anaenda naye watu wanadai mbona huyu jamaa haoni demu wake anakwato ila yule kaka akiangalia chini anaona sio kwato anaona ni viatu vyeusi virefu.
Sasa jiulize wanaelekea wapi walipokutana yule dada alidai anampenda yule msichana napia akadai anampenda ili wasicheleweshane yule dada akaja kutoa suggestion akamwambia yule kaka twende kwangu na ndio safari ikaanza .
Baada ya muda mfupi yule kaka akapelekwa kwa nyumba ya yule dada .
Yule kaka akaona nipazuri kama nini .
Sasa yule kaka akavua nguo haraka na yule dada .
Kidogo taa ikazimwa wakaendela hadi asubuhi.
Yule kaka anasimulia mida ya saa nne huku akiwa naendelea kugara gara kwa mapenzi mazuri na matamu kumbe hakuwa yupo nyumbani kwa yule dada no yupo kwenye kaburi zuri lililorembwa tena uchi.
Alizindukaje watu walikuja na mganga wao kufanya yao kwenye moja ya makaburi ya wapendwa wao.
Ndio wakamwona wakaanza kumuamsha awaeleze kulikoni yupo kaburini uchi.
Ndio alipoamka akaelezea nini kilichomtokea nguo zake zilikutwa sehemu tofauti boxer na suruali ipo kwenye msalaba umetundikwaa.
Halafu fulana na shati limekutwa juu ya kamti .
So akavaa kwa aibu kaaondoka bila kuaga.
So wanaume becareful huu umalaya wenu mtalala siku moja na wanyonya damu.
Nimewasilisha.
Duh hii kiboko ..huyu waliamua kumnyoosha tu maana alikuwa ameshindikana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom