Tresa
Senior Member
- Oct 23, 2018
- 131
- 232
Yupi sasa? Kama ni yule mtoa mada,tayari jini kampiga Ban ya mwaka kukanyaga humu. Labda uombe ruhusa kwa jini mwenyewe. Ana ID yake humu,japo inabadirika badirika mara ya kijani,mara ya blue. Lakini nitakutajia nikifika kanisani
Thats why!.... BlackScience is existing mkuu... cku yakikukuta usisahau kuleta mrejeshoNeither one.
Thats why!.... BlackScience is existing mkuu... cku yakikukuta usisahau kuleta mrejesho
Sent using Jamii Forums mobile app
We mkuu unajiamini hatarii.I’ve been like this almost my entire life!
Sasa sijui yatanikuta lini tu!
Mwishowe nitakufa kabla hayajanikuta.
Bado nasubiri.
We mkuu unajiamini hatarii.
Na test mitambo
Aaasubutuuuuu, tena ni Ex wangu... Na majb yko ndio ivo ivo. Niwewe kabisame sifahamiki dunia nzima utakua umeifananisha
Ndugu yangu ndo maneno yake hayo na vile vizee vinavyo semwa vibaya anawatukana bila woga huchukia ila baadae unashangaa ni marafiki sijui baada ya kumshindwa? hatupati jibuHamna lolote bana! Uchawi haupo.
Kama upo, mimi ofa yangu kwao iko palepale. Waniroge tuone...
Ha ha haaa unamuamini kumbe kishazamishwa bahari ya kina kilefu hafiki mtu wee unatukana wachawi wanakuroga unakufa ha ha ha haaaaUnaweza ukawa unajitamba hivyo kumbe ulishafanyiwa matambiko huko ikungulyabashashi
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamaa alidanja sbb ya uyo demu au natural death??Ilimtokea mshikaji wetu katoka na demu coco beach, kufika maeneo ya kanisa la st. Peter demu akayeyuka.
R.I.P A. R
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndugu yangu ndo maneno yake hayo na vile vizee vinavyo semwa vibaya anawatukana bila woga huchukia ila baadae unashangaa ni marafiki sijui baada ya kumshindwa? hatupati jibu
Heheheheh aiseee hio inaitwa usiige kunya kwa tembo .Ha ha haaa unamuamini kumbe kishazamishwa bahari ya kina kilefu hafiki mtu wee unatukana wachawi wanakuroga unakufa ha ha ha haaaa
Kwa hiyo watu wa daresalam wanakula biscuit na soda? Sasa hayo magimbi, viazi, mihogo na mazao mengine mnayolima huko unakoita mkoani, mnapoyakimbiza mbio mbio kuyaleta daresalam wanakula ng’ombe?
Please be my guest and make my day!
I’m eagerly waiting.
Baada ya tukio alianza kuwa mgonjwa mgonjwa, na hata siku ya kuaga ilikuwa na utata, maiti ilikuwa inatoa jasho sana na damu puani.
Ila Kama huyo demu naye anafatilia huu mjadala naomba mniunganishe naye ase awe na msambwanda tu sura sio muhimuningependa mtafutane umsaidie ndondoo kadhaa ingawaa naamini anafatiliaa hataa anachokiropokaa hapa
Haaa isije kuwa hata yeye mwenyewe mwanga hapa anawachora tuUnaweza ukawa unajitamba hivyo kumbe ulishafanyiwa matambiko huko ikungulyabashashi
Sent using Jamii Forums mobile app
Akim mwagisha maji bila shaka jamaa ataamua atakacho.
Na test mitambo