puker
JF-Expert Member
- Nov 22, 2018
- 940
- 1,847
- Thread starter
- #941
Siwez kupingana na mawazo yako mkuu, nashukuru. Ila amini kwa sio kila ukisikiacho ni stori kama usemavyo ni real kabisa... Muombe Sana Mungu akuepusshe na haya majaga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe muongo ungeendelea kutupa hii stories si lazima uifanye iwe kama ya kweli.unakuja hapa eti umetapeliwa n.k na umeshauriwa usiandike....au aliyekuwa anaandika sehemu uliyokuwa una copy ameacha?amekushtukia?
Hivi ni lazima kila ukiandika story useme ni ya kweli?sisi wengine tukiwa free tunasoma tu wala si shida si lazima mpaka useme imekutokea.au ulitaka baadaye uaje uanzishe biashara flan hapa.....
Sent using Jamii Forums mobile app