appoh
JF-Expert Member
- Mar 14, 2013
- 4,899
- 1,642
mwezi wa 4 niliwekwa rumande segerea kwa kesi ya kusingiziwa kubaka japo si kweli kutokana na kua jela mda mrefu nilipotoka tu nikasema niende kinondoni kwa ajili ya kujiliwaza na kujitoa uchovu wa jela nilifika pale saa 6; 45 usiku .
nilipofika barabari tu nikakutana na binti kama wa kiarabu lakini ananukia vizuru tu nikamuliizia biashara nae akajibu poa basi bwana tukakubaliana twende hugo guest mule ndani lakini tukapishana bei kwani gharama za kumudu kumpeleka ndani na kuumpa yweye hela sikuwa nazo
basi akaniambia kama ni hivyo sababu nae hela anaitaji inabidi twende makaburini tu nikaona ni bora nitaokea gharama
tulifika makaburini nikaanza kufungua suruali yangu sasa kilichonishangaza alaikua amevaa nguo nyeupe ikabadiika na kua nyekundu then ikawa yneupe ilikua gafla sana within a second nilihisi ni macho na pombe tu gafla nikasikia kicheka cha nguvu kilichoumiza masikio yangu niliogopa sana aisee gafla akapotea duh sijui nilitakiwa kuoneswa nini maana nahisi hii ina maana sana dah hii ni mara ya kwanza kukutana na jini ila alinitisha sana
nilipofika barabari tu nikakutana na binti kama wa kiarabu lakini ananukia vizuru tu nikamuliizia biashara nae akajibu poa basi bwana tukakubaliana twende hugo guest mule ndani lakini tukapishana bei kwani gharama za kumudu kumpeleka ndani na kuumpa yweye hela sikuwa nazo
basi akaniambia kama ni hivyo sababu nae hela anaitaji inabidi twende makaburini tu nikaona ni bora nitaokea gharama
tulifika makaburini nikaanza kufungua suruali yangu sasa kilichonishangaza alaikua amevaa nguo nyeupe ikabadiika na kua nyekundu then ikawa yneupe ilikua gafla sana within a second nilihisi ni macho na pombe tu gafla nikasikia kicheka cha nguvu kilichoumiza masikio yangu niliogopa sana aisee gafla akapotea duh sijui nilitakiwa kuoneswa nini maana nahisi hii ina maana sana dah hii ni mara ya kwanza kukutana na jini ila alinitisha sana