Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,944
- 18,653
Hazina maana,zitupe tuu
Hizo ni sarafu za enzi ya Wajerumani (HELA).Hazina maana,zitupe tuu
Hahaa,mkuu ,usiku huu unaleta chai kavu,,em acha kudanganyika,vitu kama hivyo havipatikani kirahisi km unavyofikiriaHizo ni sarafu za enzi ya Wajerumani (HELA).
Kama unazo nyingi tafuta coin-dealers na zina thamani sana.
Uwe muangalifu wanaweza kukudhulumu au hata kukuua.
ukiskia hela ndio hizo sasa
kaziuze upate chochote
Umeula, hizo ni ndoto za wasaka rupia....
wacha mikwara, wamuue kwa ajili ya hayo makorokoro?Uwe muangalifu wanaweza kukudhulumu au hata kukuua.