Lazia Sultan
Senior Member
- Jun 4, 2020
- 120
- 328
Sijawahi kuweka hela, kwenye begi hilo, nikiwa katika harakati za kulifua nikakuta shilingi mia yenye kutu, imetoka wapi? Begi nalifua kila week end na huwa siweki hela humo na sijawahi kupokea hela mbovu kiasi kile ndani ya wiki hii, wajuvi mnijuze sijawekewa na wenzangu kama chuma ulete au kulostishana jamani.