Nimekumiss Jakaya

Ng'wanangwa

JF-Expert Member
Aug 28, 2010
10,827
4,172
Nimeku miss Jakaya. Hakika nimeku miss. Enzi zako naweza kutoa hisia zangu popote na sisongwisongwi na makandokando leo hii nikieleza hisia zangu kesho nanyea debe.

Nimekumiss Jakaya.

Hata ajira ya mkate wangu wa siku nimeipata enzi zako Jakaya hakika naku miss.
 
Nimeku miss Jakaya. Hakika nimeku miss. Enzi zako naweza kutoa hisia zangu popote na sisongwisongwi na makandokando leo hii nikieleza hisia zangu kesho nanyea debe.

Nimekumiss Jakaya.

Hata ajira ya mkate wangu wa siku nimeipata enzi zako Jakaya hakika naku miss.
Mfanyakaz hewa
 
Nimeku miss Jakaya. Hakika nimeku miss. Enzi zako naweza kutoa hisia zangu popote na sisongwisongwi na makandokando leo hii nikieleza hisia zangu kesho nanyea debe.

Nimekumiss Jakaya.

Hata ajira ya mkate wangu wa siku nimeipata enzi zako Jakaya hakika naku miss.
Tafadhali fika central kesho saa tisa mchana kwaajili ya mahojiano...
 
mkuu,rekebisha kichwa cha habari. tofautisha "nimekumiss Jakaya" na "nimeku miss Jakaya". inakuwa kama vile Mheshimiwa umemwita miss!
 
Hata mi nime mu miss smile lake la wakati wote na wakati wake watu waliachia kutoa maoni yao na kukosolewa. Indeed jk aliruhusu democrasia Uhuru wa speech na tutazidi kumkumbuka alikua na kifua cha Ku handle mihemko. Long live Jk
 
Nimeku miss Jakaya. Hakika nimeku miss. Enzi zako naweza kutoa hisia zangu popote na sisongwisongwi na makandokando leo hii nikieleza hisia zangu kesho nanyea debe.

Nimekumiss Jakaya.

Hata ajira ya mkate wangu wa siku nimeipata enzi zako Jakaya hakika naku miss.
Alisema mtanikumbuka
 
Hata mi nime mu miss smile lake la wakati wote na wakati wake watu waliachia kutoa maoni yao na kukosolewa. Indeed jk aliruhusu democrasia Uhuru wa speech na tutazidi kumkumbuka alikua na kifua cha Ku handle mihemko. Long live Jk
Hapa ndio kwanza safari imeanza
 
519b5de19e82a91bd8879e17521da898.jpg
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom