Kaboom
JF-Expert Member
- Nov 6, 2011
- 10,828
- 14,975
Haya bana..Nakutakia kila la kheri..Unialike kwenye ubwecheSio kwamba nausemea moyo Bali hiyo ni hali halisi
Haya bana..Nakutakia kila la kheri..Unialike kwenye ubwecheSio kwamba nausemea moyo Bali hiyo ni hali halisi
Ulishalika long time...... Labda uwe godfather wa mtoto tu wakati utakapofikiaHaya bana..Nakutakia kila la kheri..Unialike kwenye ubweche
mkuu vp ulipata hata kausingizi!namaanisha wanaume mnavyofikiria sijui Hua mnatufikiriaje
Kumbe hua unafanyaga hizo kazi tehe teh tehhuna lolote unahamu tu usiku wa leo we sema nije nikutoe hizo hamu
Nina dawa mujarab ya hayo maradhi yako..mzima wewe?nimelala ila najisikia kuumwa,kichwa kinaniumaje hha
pole sananimelala ila najisikia kuumwa,kichwa kinaniumaje hha
HA HA HA HAKumbe hua unafanyaga hizo kazi tehe teh teh
msamehe hajielewi huyo hapa nan akujua wew!haya bana ila jua mficha maradhi kifo humuumbua hakuna jipya chini ya jua
usinifanyie hivyo mtoto wa mwanamke mwenzio!! kuwa na huruma basi.nahisi umefungua fasta maana hujaniona muda mrefu,nishakunywa dawa
Brod darlin imetokea leo unatakiwa ukasome nje au wifi anatakiwa akasome nje, what are you going to do?Long distance, sijui mtu atawezaje kunishawishi niwe na mahusiano virtual...coz kwangu it's merely virtual relationship. Mtu yupo ulaya, nipo arusha then kila siku niumize akili zangu kumuweka moyoni, hell no!