Mwandwanga
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 3,059
- 1,568
Chid Benz
Mkali toka ILALAAAAA dah amenikumbusha mashairi ya HIT SONG Mmenisoma.
Ndani ya ngoma kuna sehemu CHUMA ana ghani.... "mwenye dawa mfukoni nyonga tumeze".
Pia mbele kidogo anasema "hawezi kujibana, nataka ni ule ujana kwa nia njema bila kufanya laana.
Kinga madhubuti na kuepuka vishawishi kwani anajua akiteleza ANA ANGUKIA MAZISHI"
Chid anasema ruka utakavyo, jiachie uwezavyo ila JALI UHAI MARA NYINGI UONAVYO!... baadaye anatuasa hivi "Mkumbushe Mwenzio kama hujapatana nae, kama somo halimwingii MPOTEZEE achana nae kisha ana malizia kwa kusema JIACHIE RUKA MAJOKA, RUKA STYLE ZOTE UNAZO PENDA, UWANJA WAKO, MUDA WAKO CHEZA VILE UNAVYOWEZA, Ila DUNIA CHAFU KUWA MWANGALIFU USIFUATE MGUU UNAPOKWENDA.
Ubeti mwingine ana anza hivi "akili ishalegea, wengi wanapotea hasa waliofumba macho wakahisi wanatembea, maneno yao UTASIKIA NA_TAKE CARE
Mvuta Bangi ana kamatwa!
Mnywa gongo anakamatwa
Kwanini Watumia madawa ya kulevya
Wasikamatwe?
Nimeichomoa Facebook