Mwambie uyoHuyu jamaa nae na mibuyu yakeee! Siku hiz watu wanatumia kioo, hakuna kujipaka masizi wala kuvaa miguo michafu
Hawa wazee wana vitu vyao vya siriAu alilala huku amesimama
Wee ndiye bado kabisa robo saa watu wanasema tu ajamaliza neno tayal wewe robo saaa??bado mjukuu sanaMshana bado anatumia uchawi wa kizamani, wakwangu ni wa kisasa, robo saa hiishi tunazika mtu.
Hahaha, Bwana huyu hajalibiwi kabisa.Baada ya Huu Uzi ndugu yetu hakulala mwezi mzima
Hii dawa ya nn tena kuona siku zake vp mkuu kama ana mimba ndio inakuwaje..na kama ndivyo to a maelezo kwa kina mkuuMchanganyiko wa maji ya moto, mdalasini na asali. Tatizo litakwisha hilo