Youngblood
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 18,954
- 55,049
Mshana bado anatumia uchawi wa kizamani, wakwangu ni wa kisasa, robo saa hiishi tunazika mtu.Sasa haya madodoki ya nini hapa? Watu wamejipanga, hivi unamjua Mshana Jr au unamsikia tu, chezea pengine, wewee!
Kila mtu na ujuzi wake.Wakati wazungu wapo busy kutengeneza Drones,....Mwafrika naye halali,...yupo busy kugundua confidential technology.
Sawa mkuu....kila la kheri....naona wapinzani wamekacha uwanja.Kila mtu na ujuzi wake.
Sisi tumebobea katika fani hii.
Mshana bado anatumia uchawi wa kizamani, wakwangu ni wa kisasa, robo saa hiishi tunazika mtu.
Sawa mkuu....kila la kheri....naona wapinzani wamekacha uwanja.
Mshana Jr ndukiiiiii!
Najua huko waliko watakuwa wameungana wanaandaa mashambulizi,naomba uwatahadharishe mapema wasije wakaumia.Hiyo kiki yako ni balaaa
Mkuu ulipotea sana kumbe ulikua unaandaa hii kituMshana bado anatumia uchawi wa kizamani, wakwangu ni wa kisasa, robo saa hiishi tunazika mtu.