Feisal2020
JF-Expert Member
- Nov 15, 2018
- 772
- 1,670
Hongera mkuu kwa kupata mke mwenye chura, hongera sanaBinafsi nakumbuka kabla ya kuoa, dogo alipangiwa Chuo fulani hapa dar baada ya kuripoti Chuo akaja gheto siku moja akiwa na rafiki yake, wakapika misoso mizuri wakala.
Then dogo akaniambia bro kwa nini usioe? Kama hela ya kula unapata.
Nikamwambia nikipata mwanamke wife material naoa.
Dogo akasema yupo dada mmoja home( kijijini kwetu) ana sifa zote za kuwa mke wako nilisoma nae.
Nikamwambia dogo unamfahamu vizuri mienendoyake ya maisha yake.
Dogo kuniambia bro yule dada anajielewa na anajuhudi za kutafuta maisha lakin pia ni pin balaa Umbo kama loteeee.
Akanipa namba yake nikaanza sound, nikaenda home tukaonana nae na mahusiano yakaanzia hapo hadi kumuoa na kufunga ndoa ndani ya mwaka mmoja
Kwakweli tangu nimuoe nafurahia maisha Sana, na sijawahi kujutia hata kidogo na anaheshima Sana kwangu kama mme wake pamoja na uzuri wake, Umbo kali na chura ya maana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app