Kizibo
JF-Expert Member
- Jul 3, 2018
- 3,871
- 8,380
Ningeelewa nisingeuliza
Ok,
Upokee baraka x2 jumapili ya leo.
Zimiminike na kwako pia.Ok,
Upokee baraka x2 jumapili ya leo.
Vipi hana rafiki? Kama anaye naomba uniunganishe naye,na je ulimpata kutoka kijiji gani nikapime zari na mimi?inaonekana huko ni mpeto tuBinafsi nakumbuka kabla ya kuoa, dogo alipangiwa Chuo fulani hapa dar baada ya kuripoti Chuo akaja gheto siku moja akiwa na rafiki yake, wakapika misoso mizuri wakala.
Then dogo akaniambia bro kwa nini usioe? Kama hela ya kula unapata.
Nikamwambia nikipata mwanamke wife material naoa.
Dogo akasema yupo dada mmoja home( kijijini kwetu) ana sifa zote za kuwa mke wako nilisoma nae.
Nikamwambia dogo unamfahamu vizuri mienendoyake ya maisha yake.
Dogo kuniambia bro yule dada anajielewa na anajuhudi za kutafuta maisha lakin pia ni pin balaa Umbo kama loteeee.
Akanipa namba yake nikaanza sound, nikaenda home tukaonana nae na mahusiano yakaanzia hapo hadi kumuoa na kufunga ndoa ndani ya mwaka mmoja
Kwakweli tangu nimuoe nafurahia maisha Sana, na sijawahi kujutia hata kidogo na anaheshima Sana kwangu kama mme wake pamoja na uzuri wake, Umbo kali na chura ya maana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba mkeo unahadidhia namna gani huna unampiga dog style?? Hizi ndoa jaman Mungu asaidie tu!
Kuna ndoa moja,niliwahi pata kusuruhisha japo yalinishinda,jamaa nae alikua anasema mke wake akimweka dog style hua anajampa sana! Wife akasikia maneno ya jamaa, na ilikua case hadi ndoa kutaka kuvunjika
Sent using Jamii Forums mobile app
Amina amina. Zitumiminikie sote mama.Zimiminike na kwako pia.
Sana.... Alitukatili sana, hatukumfaidi tu vizuri.Oya troublemaker niaje😆😆😆 hyu jamaa wa kwenye avatar yakk namuelewa kichizi
Kichwani yupo smart ?Binafsi nakumbuka kabla ya kuoa, dogo alipangiwa Chuo fulani hapa dar baada ya kuripoti Chuo akaja gheto siku moja akiwa na rafiki yake, wakapika misoso mizuri wakala.
Then dogo akaniambia bro kwa nini usioe? Kama hela ya kula unapata.
Nikamwambia nikipata mwanamke wife material naoa.
Dogo akasema yupo dada mmoja home( kijijini kwetu) ana sifa zote za kuwa mke wako nilisoma nae.
Nikamwambia dogo unamfahamu vizuri mienendoyake ya maisha yake.
Dogo kuniambia bro yule dada anajielewa na anajuhudi za kutafuta maisha lakin pia ni pin balaa Umbo kama loteeee.
Akanipa namba yake nikaanza sound, nikaenda home tukaonana nae na mahusiano yakaanzia hapo hadi kumuoa na kufunga ndoa ndani ya mwaka mmoja
Kwakweli tangu nimuoe nafurahia maisha Sana, na sijawahi kujutia hata kidogo na anaheshima Sana kwangu kama mme wake pamoja na uzuri wake, Umbo kali na chura ya maana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwao yy ndo wa mwisho na dada Zake walishaolewa kwa hiyo mm nilifika namaliziaVipi hana rafiki? Kama anaye naomba uniunganishe naye,na je ulimpata kutoka kijiji gani nikapime zari na mimi?inaonekana huko ni mpeto tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafta mwanamke asiye mbinafsi tu, utakuja kunishukuru baadae. Achana na mambo yasio na msingi.
Focus kwa mwanamke ambaye sio mbinafsi tu utapata mama mzuri kwa watoto wako.
We jamaa unakula nchi sana! Angalia wahuni sio watu lakini 🤣🤣🤣Mkuu picha ya wife ziwezi weka humu Ila kijijini kuna wanawake wana asili ya Umbo Zuri na chura ya kutosha Ila kutokana na kuishi maisha magumu na kufanya kazi ngumu inapelekea kupoteza asili Yao au mwonekano mzuri.
Wife nilimuoa akiwa kawaida Sana Ila baada ya kuishi nae mwaka mmoja tu aisee alibadilika na kuwa mrembo Sana kwenye macho yangu. Huwa nikimuweka dogo style naona kama dunia yote ni yangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaesema tafuta pesa, huyo usithubutu hata kuunga nae urafiki...yeye kwanini akimbilie pesa? 😎😎😎Mwanamke mbinafsi Ni yupi(wa aina gani)
Kwenye chura hapo sasa... nimepapendaBinafsi nakumbuka kabla ya kuoa, dogo alipangiwa Chuo fulani hapa dar baada ya kuripoti Chuo akaja gheto siku moja akiwa na rafiki yake, wakapika misoso mizuri wakala.
Then dogo akaniambia bro kwa nini usioe? Kama hela ya kula unapata.
Nikamwambia nikipata mwanamke wife material naoa.
Dogo akasema yupo dada mmoja home( kijijini kwetu) ana sifa zote za kuwa mke wako nilisoma nae.
Nikamwambia dogo unamfahamu vizuri mienendoyake ya maisha yake.
Dogo kuniambia bro yule dada anajielewa na anajuhudi za kutafuta maisha lakin pia ni pin balaa Umbo kama loteeee.
Akanipa namba yake nikaanza sound, nikaenda home tukaonana nae na mahusiano yakaanzia hapo hadi kumuoa na kufunga ndoa ndani ya mwaka mmoja
Kwakweli tangu nimuoe nafurahia maisha Sana, na sijawahi kujutia hata kidogo na anaheshima Sana kwangu kama mme wake pamoja na uzuri wake, Umbo kali na chura ya maana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Saf binamu!Binafsi nakumbuka kabla ya kuoa, dogo alipangiwa Chuo fulani hapa dar baada ya kuripoti Chuo akaja gheto siku moja akiwa na rafiki yake, wakapika misoso mizuri wakala.
Then dogo akaniambia bro kwa nini usioe? Kama hela ya kula unapata.
Nikamwambia nikipata mwanamke wife material naoa.
Dogo akasema yupo dada mmoja home( kijijini kwetu) ana sifa zote za kuwa mke wako nilisoma nae.
Nikamwambia dogo unamfahamu vizuri mienendoyake ya maisha yake.
Dogo kuniambia bro yule dada anajielewa na anajuhudi za kutafuta maisha lakin pia ni pin balaa Umbo kama loteeee.
Akanipa namba yake nikaanza sound, nikaenda home tukaonana nae na mahusiano yakaanzia hapo hadi kumuoa na kufunga ndoa ndani ya mwaka mmoja
Kwakweli tangu nimuoe nafurahia maisha Sana, na sijawahi kujutia hata kidogo na anaheshima Sana kwangu kama mme wake pamoja na uzuri wake, Umbo kali na chura ya maana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha tu ndugu yangu, Mungu awasaidie kwa kweliKwamba mkeo unahadidhia namna gani huna unampiga dog style?? Hizi ndoa jaman Mungu asaidie tu!
Kuna ndoa moja,niliwahi pata kusuruhisha japo yalinishinda,jamaa nae alikua anasema mke wake akimweka dog style hua anajampa sana! Wife akasikia maneno ya jamaa, na ilikua case hadi ndoa kutaka kuvunjika
Sent using Jamii Forums mobile app