nimepitia hizo sheria mkuu kwa umri wangu sitegemei kuzivunja.karibu sana JamiiForums Disclaimer and Rules
elimu dunia na elimu akhera!Elimu gani wataka uelimishwe?
Karibu humu ndani. Tafuta nafasi ukae. Tumetoka kulifagia jamvi muda si mrefu.
nasubiria mafao yangu ya jumuiya ya afrika mashariki nami nichangie jamvi.Karibu unarudia masomo yapi?Lete bankpayslip au cash lipa kwa Jf busar