Ndio hivyo mpe mwongozo shem.haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa..................
Karibu sana JF. Taja hobby zako kwanza ili uelekezwe kirahisi kwa kwenda.
Tate Mkuu, Ahsante sana.
Baadhi ya hobby zangu ni kama;
1. kufahamu zaidi kuhusu tarakilishi (kompyuta)
2. Kufahamu njia mbalimbali halali za kuweza kupata hela (sina mtaji) na baadae kuweza kuwaelekeza wengine na kuwavusha wengine
3. Kufahamu namna ya kushawishi mtu au watu juu ya kitu fulani
4. Mbinu mbali mbali za kumfanya mtu anunue kitu
5. Kufahamu zaidi kuhusu saikolojia ya akili ya binadamu
6. Kufahamu namna ya kutengeneza wafuasi mtandaoni
7. Kufahamu tiba mbalimbali asilia, kutoka kwa makabila mbalimbali
Kama tukipeana ushirikiano katika haya, hakika si mimi pekee bali pia jamii ya Tanzania itanufaika na kupiga hatua kadhaa mbele
Nasubiri michango yenu.
Ahsante
ID yako ya zamani ni ipi kwanzaNahitaji mwongozo wenu, jukwaa gani nielekee moja kwa moja?
Awe anawahi kuamka na kulala kwa kuchelewa.Ndio hivyo mpe mwongozo shem.
Amkeni amkeni amkeni jamani amkeni uuuuwi 😂kwa sasa nina cha taifa tu Mkuu, kile cha kura sikufanikiwa kupata kipindi kile kutokana na changamoto nilizowhindwa kuziepuka kipindi hicho
how would this help me bro?
Mtafute huyu jamaa Mshana Jr. Amebobea kwenye mambo mengi mpaka yale ya nguvu za giza na mizimu. 🚶🚶🚶🚶🚶