Beautiful kwa sura tu, mchokoze uone ngumi atakazozichapa mwakinyo akasome.....kwanza hilo biti lake unaweza hisi sio yeye anaongeaKwa mtazamo wangu nawaona they are beautiful.
Sikutaka hata wanisogele ni hovyo sana ukiwatizama hata kwa mbali tuhWalikufanyaje mkuu?
Ukizubaa utakalia msumari bila kupendaWakuu, sijui ni stress za maisha au ni nini?
Toka nimefika arusha, kila bar ninayoenda naona wanawake pombe yao kubwa ni konyagi na k vant.
What is wrong with these beautiful ladies?
Machaliii! Ila ata ZileTekila ni zaidi ya KVANT na Hennessy pia na ata Dar madada wanazipiga bila tatizo! Kuna wengine Caste Light wanamaliza crate na awalewi😂Wakuu,sijui ni stress za maisha au ni nini?
Toka nimefika arusha,kila bar ninayoenda naona wanawake pombe yao kubwa ni konyagi na k vant.
What is wrong with these beautiful ladies?