Beatrice Kamugisha
JF-Expert Member
- May 18, 2019
- 762
- 6,980
Nimemsikiliza Mwingira, nimemsikiliza Nape,nikamsiliza WA zamani wa Jumuhia ya wazazi wa CCM, nimemsikiliza huyu mzee mwanajeshi mstaafu kiongozi wa organizashen ya mambo ya nje, nikamsikiliza Gwajima, nikaona ushahidi wa Makomandoo, nikaona namna sabaya alivyotesa, Makonda alivyotesa, Muro alivyoshughulikia watu, nikatafakari korosho mtwara,gesi, madini ,wamachinga, watumishi hewa, wastaafu nk naomba niseme kwamba Tanzania watu wana chuki ila wanachekeana.
Tunaweza kuuana tukichekeana, maridhiano na toba ya kitaifa ni muhimu KULIKO kauli mbiu ya kazi iendelee. Kazi ikiendelea ni pamoja na kazi za kihalifu so tuseme wazi kwamba ni muda wakuliponya Taifa. Kama Mwingira ambaye mke wake alikuwa DC Nyamagana aliwindwa kufa Nani yupo salama? Kwamba wanampa madaraka mkeo then wewe wanakusukia njama kuua na ukae Kimya Hadi wachukuliwe na Mungu? Wasipochukuliwa wataua wangapi?
Tunaweza dhani TU maendeleo kumbe tunapoteza muda
Tunaweza kuuana tukichekeana, maridhiano na toba ya kitaifa ni muhimu KULIKO kauli mbiu ya kazi iendelee. Kazi ikiendelea ni pamoja na kazi za kihalifu so tuseme wazi kwamba ni muda wakuliponya Taifa. Kama Mwingira ambaye mke wake alikuwa DC Nyamagana aliwindwa kufa Nani yupo salama? Kwamba wanampa madaraka mkeo then wewe wanakusukia njama kuua na ukae Kimya Hadi wachukuliwe na Mungu? Wasipochukuliwa wataua wangapi?
Tunaweza dhani TU maendeleo kumbe tunapoteza muda