Nimekubali Cocacola haifai kunywa

Zeni2017

JF-Expert Member
Apr 27, 2017
1,247
532
Ni mchanganyiko wa sukari na gesi za mlipuko. Nimeitaimu hiyo chupa ilikuwa kwenye freezer
Halafu ukitaka kuona Iraq iangushe hiyo chupa kwa nguvu ipasuke.

d8c92ec94053c1d315c22c1c059098b1.jpg
 
Utoto huo

dhumuni lako kuu ni kuturingishia hayo matunda hapo.

Coke diet zipogo kumbe,mie kashamba bana nshazoea zile zenye karatasi jekundu na maandishi meupe
 
Ni mchanganyiko wa sukari na gesi za mlipuko. Nimeitaimu hiyo chupa ilikuwa kwenye freezer
Halafu ukitaka kuona Iraq iangushe hiyo chupa kwa nguvu ipasuke.

d8c92ec94053c1d315c22c1c059098b1.jpg

Hapa ndipo pagumu, mtoa mada ulipaswa ulete ulichoona hakifai kwenye cocacola!! Sasa unapotuambia tuangushe chupa tuone Iraq sikuelewi unajua!!

Wewe tueleze, umechukua chupa ya coke, ukaifanyia nini? matokeo yakawa nini?? Nadhani utakuwa umetusaidia zaidi kuliko ulivyoandika kifupi sana
 
Hapa ndipo pagumu, mtoa mada ulipaswa ulete ulichoona hakifai kwenye cocacola!! Sasa unapotuambia tuangushe chupa tuone Iraq sikuelewi unajua!!

Wewe tueleze, umechukua chupa ya coke, ukaifanyia nini? matokeo yakawa nini?? Nadhani utakuwa umetusaidia zaidi kuliko ulivyoandika kifupi sana

Nilifungua mlango wa gari kubwa size ya Landrover nikiwa nimeshika hiyo chupa ikaniponyoka na kudondoka chini. Halafu ilikuwa imeshachemka kwa mtingishiko. Ilipofika chini mpasuko wake ulinipofua kama dakika.moja sioni kitu. Gari lote halitamaniki kwa matone ya soda.
 
Ukinywa kinywaji chochote, kuna mchanganyiko unaenda kufanyika tumboni na kubadilishwa kwa kiwango ambacho kitakuwa siyo sumu katika Mwili.

Sasa ulete ushahidi kwamba, uliweka katika kiwango ambacho kina mazingira sawa na ya tumboni kisha ndipo ikalipuka.

TUACHE Kuharibu biashara za Wenzetu.
 
Kwani hujawasikia wakikataza kunywa hiyo kitu? Migesi mikali ya hivyo na tumboni inafanya noma hizo hizo.
 
Hata pepsi ukiweka kwenye freezer kwa mda mrefu hilo litatokea..sbb ni kuwa ina ganda and ina expand wakati chombo hakitanuki...
 
Nilifungua mlango wa gari kubwa size ya Landrover nikiwa nimeshika hiyo chupa ikaniponyoka na kudondoka chini. Halafu ilikuwa imeshachemka kwa mtingishiko. Ilipofika chini mpasuko wake ulinipofua kama dakika.moja sioni kitu. Gari lote halitamaniki kwa matone ya soda.
Onyesha movie yake
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom