Nimekubali co kila kitu ku2mia dawa ni kusema2 inakuwa

chavka

JF-Expert Member
Jun 21, 2011
223
46
Hv majuzi niliweka tatizo langu jamvini juu ya kupoteza mud ktk tendo la ndoa. Nawashukuru wanajamii ushauri wenu wa umenisaidia na sasa nimeanza kufurah unyumba wangu na kujiona narudi uwanjani kama zamani 3 za afya na bado nakuwa niko fit kuendelea ila kwakuwa wife sizidish kipimo. shukranini wanajamii mola awajalie salama 2zidi kuwa pamoja
 
Back
Top Bottom