Redpanther
JF-Expert Member
- Feb 23, 2019
- 2,813
- 3,764
Nimekua mwenye mahusiano na binti mmoja kwa zaidi ya miezi mitatu sasa. Yeye anadini tofauti na yangu. Suala hili la dini limekuwa changamoto kwa sababu yeye hataki kubadili dini kunifuata na mimi pia siwezi kubadili dini. Yeye binti anaonekana ananipenda ila dini ndio changamoto.
Nimekua nikimuuliza hatima ya mahusiano yetu ni nini kama yeye hataki kubadili dini amekataa. Kiukweli sitaki tupotezeane muda, ndio maana huwa namuuliza mara kwa mara ili kujiridhisha ili nisipoteze muda wangu kwa kitu ambacho baadae hakitafanikiwa.Mie ni Muislam yeye ni Mkristo(mlokole) . Sasa nifanyeje ili niisolve case hii??, sitaki kumuumiza moyo kwenye maamuz yangu. Nataka niwe najibu maalum ili nijue hatima ya mahusiano yetu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekua nikimuuliza hatima ya mahusiano yetu ni nini kama yeye hataki kubadili dini amekataa. Kiukweli sitaki tupotezeane muda, ndio maana huwa namuuliza mara kwa mara ili kujiridhisha ili nisipoteze muda wangu kwa kitu ambacho baadae hakitafanikiwa.Mie ni Muislam yeye ni Mkristo(mlokole) . Sasa nifanyeje ili niisolve case hii??, sitaki kumuumiza moyo kwenye maamuz yangu. Nataka niwe najibu maalum ili nijue hatima ya mahusiano yetu.
Sent using Jamii Forums mobile app