mzibua chemba
JF-Expert Member
- Jul 18, 2016
- 476
- 412
Hii ni to much sasa nahisi naelekea kubaya maana kila nimwonapo mwanamke mwenye wowowo nachanganyikiwa, kiasi nafirisika kiuchumi hadi kiakili, sametime hadi naweza tafuta sehemu nikaenda kulivutia hisia na kulipigia punyeto, nashindwa kuelewa huu ni ugonjwa au nimelogezewa au shetani gani kaniingia.
Nitaachaje huu ugojwa jamani?
Nitaachaje huu ugojwa jamani?