DR SANTOS
JF-Expert Member
- Mar 11, 2019
- 10,511
- 21,390
Habari wanajamvi,
Poleni na msiba wa mr president, tuliumbwa na mungu na mavumbini tutarudi.
Niende moja kwa moja kwenye mada
Nimeanza kucheza michezo ya kubahatisha (betting)
Muda mrefu sana ambayl naweza ita kamari kwa upande mwingine.
Hatua niliyofikia kwa sasa ni mbaya wakuu:
1: Nikipata hela kubwa nafikiria kamari hasa spin and win, black jack na roulette wale wa cassino watakua wanaijua hio michezo.
2: Nisipocheza kamari sisikii raha kabisa
3: Ni shinda nafurahi.
4: Nikiliwa pia kuna muda nafurahi.
5: Pesa hazikai mfukoni kabisa.
6: Imani inakua kubwa sana kwamba nitatoboa lakini nilishaona naelekea kwenye umasikini.
7: Nikiweka kwa simu nitacheza live cassino.
Napata shida sana wakuu naombeni ushauri wa kuachana na masuala ya kamari mimi ni kijana ambaye napambana sana lakini jitihada zangu zinakwamishwa na betting.
Nawasilisha!
Poleni na msiba wa mr president, tuliumbwa na mungu na mavumbini tutarudi.
Niende moja kwa moja kwenye mada
Nimeanza kucheza michezo ya kubahatisha (betting)
Muda mrefu sana ambayl naweza ita kamari kwa upande mwingine.
Hatua niliyofikia kwa sasa ni mbaya wakuu:
1: Nikipata hela kubwa nafikiria kamari hasa spin and win, black jack na roulette wale wa cassino watakua wanaijua hio michezo.
2: Nisipocheza kamari sisikii raha kabisa
3: Ni shinda nafurahi.
4: Nikiliwa pia kuna muda nafurahi.
5: Pesa hazikai mfukoni kabisa.
6: Imani inakua kubwa sana kwamba nitatoboa lakini nilishaona naelekea kwenye umasikini.
7: Nikiweka kwa simu nitacheza live cassino.
Napata shida sana wakuu naombeni ushauri wa kuachana na masuala ya kamari mimi ni kijana ambaye napambana sana lakini jitihada zangu zinakwamishwa na betting.
Nawasilisha!