"Nimekosa sana, Nimekosa Mimi" - Hii ni dhihaka kwa Kanisa Katoliki na wana-CCM. Ingawa ni udhaifu wa Bunge, tutafika tu

Nukuu ya Prof Assad wakati akiwa CAG "Kama Bunge linashindwa kusimamia serikali huo ni udhaifu wa Bunge". CAG Assad aliitwa na Ndugai kibabe Bungeni ajieleze

Swali la Pascal Mayaalla"Je Bunge linatumika kama muhuri au rubber stamp kupitisha mambo ya serikali? "Pascal Mayalla aliitwa Bungeni kibabe na Ndugai ajieleze

Unaweza ukacheka na kukasirika kwa wakati mmoja lakini kinachowafanya waumini wa katoliki kila jumapili kabla ya sala na mahubiri kutubu kwa kutamka maneno haya:Nimekosa Mimi, Nimekosa sana ndio maana nakuomba...........

Kwa wasiofahamu hapa JF, Kila jumapili kwa Wakatoliki ni sherehe kubwa sana, Na sio dhihaka hata kidogo

Kila jumapili wakati wa Misa Wakatoliki wanaadhimisha nguzo kuu ya ukristo yaani sherehe ya Kufa na Kufufuka kwa kristo, Hivyo wanoamini kama Wakatoliki kuwa kuna ufufuo baada ya haya maisha wanatakiwa kuishi kwa toba au kutubu wakati wote yaani Nimekosa Mimi, Nimekosa sana........

Dhihaka iliyofanyika Leo mbele ya waandishi wa habari na yule mheshimiwa haikubaliki hata kidogo,

Unawezaje kutubu ukweli ambao kila mtu anaufahamu ni ukweli wa mambo kuhusu deni la Taifa?

Unawezaje kutubu na kukana kauli sahihi ambayo ulitamka mbele ya umati na maelfu ya watu?

Dhihaka kuu kabisa ni kuomba radhi wananchi kwa mambo ambayo hatujawahi kushiriki bungeni au kushirikishwa kuhusu nchi hii

Sio mara ya kwanza mheshimiwa Spika kufanya dhihaka mbele ya jamii

Aliwahi fanya dhihaka juu ya maslahi ya Tundu Lissu na hakuomba msamaha mpaka Leo hii

Aliwahi fanya dhihaka kwa CAG Prof Assad hajatubu mpaka leo

Aliwahi fanya dhihaka kwa tangazo kuwa atawashughulikia wanatoa maoni tofauti hajawahi tubu mpaka wakati huu

Wakatoliki wanapoomba toba hata siku moja hawatamki kauli kwa sauti kwa mambo walioyafanya na wala hawatangulizi risala ya kujisafisha kwanza ndio watubu makosa yao

Kitendo cha Ndugai kutanguliza hotuba na risala ndefu ili kukana kauli zake sahihi na kujisafisha haikuwa toba wala kuomba msamaha bali ilikuwa ni dhihaka kwa wana ccm na Mamlaka iliyojichimbia mzizi zaidi

Ni busara Ndugai akaachana na uspika wa Bunge au akajivua uwanachama wa ccm ili kujenga heshima yake uzeeni

Ndugai kutamka nimekosa sana, Nimekosa Mimi....... Alikuwa anatubu dhambi na kujuta kwa nani?

Ndugai kwa kutamka Nimekosa sana.... Alikuwa anahitaji nani amuombee na kumsamehe, Kuna binadamu anaweza toa msamaha na hata akitoa msamaha kwa kibali gani alichopewa wakfu wa kutoa msamaha?

Tuache dhihaka kwenye imani za watu daima tusimamie ukweli tunaouamini
Tukisema bunge ni dhaifu tunafokewa!
 
Jana Ndugai katuthibitishia kuwa kauli ya Proff Assad ni ukweli tena ukweli mtupu.
 
Ndugai tangu akutane na mke wa Yesu alishachanganyikiwa, ni wa kumpuuza tu kama sio kumsamehe.
 
Kila jumapili wakati wa Misa Wakatoliki wanaadhimisha nguzo kuu ya ukristo yaani sherehe ya Kufa na Kufufuka kwa kristo, Hivyo wanoamini kama Wakatoliki kuwa kuna ufufuo baada ya haya maisha wanatakiwa kuishi kwa toba au kutubu wakati wote yaani Nimekosa Mimi, Nimekosa sana........
Mimi ni Mkatoliki halisi na ni kiongozi wa Halmashauri ya Walei. Sala aliyoitaja Ndugai ni ya kuungama, na yupo sahihi kabisa.
Tutenganishe chuki zetu binafsi na imani za kanisa
 
Nukuu ya Prof Assad wakati akiwa CAG "Kama Bunge linashindwa kusimamia serikali huo ni udhaifu wa Bunge". CAG Assad aliitwa na Ndugai kibabe Bungeni ajieleze

Swali la Pascal Mayaalla"Je Bunge linatumika kama muhuri au rubber stamp kupitisha mambo ya serikali? "Pascal Mayalla aliitwa Bungeni kibabe na Ndugai ajieleze

Unaweza ukacheka na kukasirika kwa wakati mmoja lakini kinachowafanya waumini wa katoliki kila jumapili kabla ya sala na mahubiri kutubu kwa kutamka maneno haya:Nimekosa Mimi, Nimekosa sana ndio maana nakuomba...........

Kwa wasiofahamu hapa JF, Kila jumapili kwa Wakatoliki ni sherehe kubwa sana, Na sio dhihaka hata kidogo

Kila jumapili wakati wa Misa Wakatoliki wanaadhimisha nguzo kuu ya ukristo yaani sherehe ya Kufa na Kufufuka kwa kristo, Hivyo wanoamini kama Wakatoliki kuwa kuna ufufuo baada ya haya maisha wanatakiwa kuishi kwa toba au kutubu wakati wote yaani Nimekosa Mimi, Nimekosa sana........

Dhihaka iliyofanyika Leo mbele ya waandishi wa habari na yule mheshimiwa haikubaliki hata kidogo,

Unawezaje kutubu ukweli ambao kila mtu anaufahamu ni ukweli wa mambo kuhusu deni la Taifa?

Unawezaje kutubu na kukana kauli sahihi ambayo ulitamka mbele ya umati na maelfu ya watu?

Dhihaka kuu kabisa ni kuomba radhi wananchi kwa mambo ambayo hatujawahi kushiriki bungeni au kushirikishwa kuhusu nchi hii

Sio mara ya kwanza mheshimiwa Spika kufanya dhihaka mbele ya jamii

Aliwahi fanya dhihaka juu ya maslahi ya Tundu Lissu na hakuomba msamaha mpaka Leo hii

Aliwahi fanya dhihaka kwa CAG Prof Assad hajatubu mpaka leo

Aliwahi fanya dhihaka kwa tangazo kuwa atawashughulikia wanatoa maoni tofauti hajawahi tubu mpaka wakati huu

Wakatoliki wanapoomba toba hata siku moja hawatamki kauli kwa sauti kwa mambo walioyafanya na wala hawatangulizi risala ya kujisafisha kwanza ndio watubu makosa yao

Kitendo cha Ndugai kutanguliza hotuba na risala ndefu ili kukana kauli zake sahihi na kujisafisha haikuwa toba wala kuomba msamaha bali ilikuwa ni dhihaka kwa wana ccm na Mamlaka iliyojichimbia mzizi zaidi

Ni busara Ndugai akaachana na uspika wa Bunge au akajivua uwanachama wa ccm ili kujenga heshima yake uzeeni

Ndugai kutamka nimekosa sana, Nimekosa Mimi....... Alikuwa anatubu dhambi na kujuta kwa nani?

Ndugai kwa kutamka Nimekosa sana.... Alikuwa anahitaji nani amuombee na kumsamehe, Kuna binadamu anaweza toa msamaha na hata akitoa msamaha kwa kibali gani alichopewa wakfu wa kutoa msamaha?

Tuache dhihaka kwenye imani za watu daima tusimamie ukweli tunaouamini
Maelezo marefu nimeishia njiani baada ya kuacha kuzungumzia mada ukajikita kwenye kusifia uromani wako umenichefua sana
 
Hujui historia ya hizi dini wewe, Tafuta jisomee acha kusikiliza mapadei peke yake fanya utafiti

Utagundua yafuatayo:
Nani alitoa ardhi pale Vatikani na kwa maslahi gani utayajua hayo

Waraka wa kusema mapadri wasioe wakati hapo awali mapadri Wakatoliki walioa

Leo hii kuna kitu kinaitwa sinodi ya maaskofu, Yaani ushirika, ushiriki na umisionari unafahamu malengo yake nyuma ya pazia

Hizi dini zilikuja Afrika wakati huo kwa malengo maalum makuu mawili Rasilimali na kubadili uelekeo mpya wa utumwa toka utumwa wa mwili mpaka utumwa wa akili


Kwa sasa kanisa katoliki lina fanya reform na lina malengo hayo tangu Papa Benedikto

Hizo reform unazifahamu, Kuna makundi yanakubali na mengine yanapinga

Hoja kama kutoa mimba

Hoja za mapadri kuoa

Kuna mambo yanafukuta wewe hujui kilatini ndio tatizo


Tatizo lako hujui kilatini, Nyaraka za Vatikani nyingi huandikwa kilatini na Misa mara nyingi huongozwa kwa kilatini
Jadili hoja ya MTOA mada....
 
Moja msamaha unaombwa hata kwa mwanao ukimkosea, pia hiyo bwana msamaha wake kwa rais na wananchi uko sawa, kwan ktk bajeti ya serikal inapitishwa na bunge, na ndan ya hiyo bajeti kunakuwemo pia swala la mikopo? Kwa hiyo mikopo hii ndugai kashiriki kupitisha na bunge lake badala ya kuidhibit serikali, kwa hiyo alitakiw hilo kulidhibit ktk upitishaji wa bajet bungeni ila kinyume chake alipitisha kisha yuko nje ya bunge ndo anaanza kulalamikia hiyo mikopo, kosa lake la kuomba msamaha wananchi ni pale alipitisha bajet ya mikopo isiyopimika, kingine uelewa wako ni mdogo juu ya kuomba msamaha, endapo mtu anastahili kumuomba mke au mume msamaha? Je ni ajabu gan kiongoz kuomba msamaha kwa anowaongoza pale anapokosea?
 
Mkuu lazima hapo kuna file zimefukuliwa mahala akakumbishwa maovu yake na kuambiwa hana jeuri hiyo ama vinginevyo ni kitisho cha kukolimbwa , kati ya hayo mawili, ndio ujanja wa masisiemu,
 
Hakika
Nukuu ya Prof Assad wakati akiwa CAG "Kama Bunge linashindwa kusimamia serikali huo ni udhaifu wa Bunge". CAG Assad aliitwa na Ndugai kibabe Bungeni ajieleze

Swali la Pascal Mayaalla"Je Bunge linatumika kama muhuri au rubber stamp kupitisha mambo ya serikali? "Pascal Mayalla aliitwa Bungeni kibabe na Ndugai ajieleze

Unaweza ukacheka na kukasirika kwa wakati mmoja lakini kinachowafanya waumini wa katoliki kila jumapili kabla ya sala na mahubiri kutubu kwa kutamka maneno haya:Nimekosa Mimi, Nimekosa sana ndio maana nakuomba...........

Kwa wasiofahamu hapa JF, Kila jumapili kwa Wakatoliki ni sherehe kubwa sana, Na sio dhihaka hata kidogo

Kila jumapili wakati wa Misa Wakatoliki wanaadhimisha nguzo kuu ya ukristo yaani sherehe ya Kufa na Kufufuka kwa kristo, Hivyo wanoamini kama Wakatoliki kuwa kuna ufufuo baada ya haya maisha wanatakiwa kuishi kwa toba au kutubu wakati wote yaani Nimekosa Mimi, Nimekosa sana........

Dhihaka iliyofanyika Leo mbele ya waandishi wa habari na yule mheshimiwa haikubaliki hata kidogo,

Unawezaje kutubu ukweli ambao kila mtu anaufahamu ni ukweli wa mambo kuhusu deni la Taifa?

Unawezaje kutubu na kukana kauli sahihi ambayo ulitamka mbele ya umati na maelfu ya watu?

Dhihaka kuu kabisa ni kuomba radhi wananchi kwa mambo ambayo hatujawahi kushiriki bungeni au kushirikishwa kuhusu nchi hii

Sio mara ya kwanza mheshimiwa Spika kufanya dhihaka mbele ya jamii

Aliwahi fanya dhihaka juu ya maslahi ya Tundu Lissu na hakuomba msamaha mpaka Leo hii

Aliwahi fanya dhihaka kwa CAG Prof Assad hajatubu mpaka leo

Aliwahi fanya dhihaka kwa tangazo kuwa atawashughulikia wanatoa maoni tofauti hajawahi tubu mpaka wakati huu

Wakatoliki wanapoomba toba hata siku moja hawatamki kauli kwa sauti kwa mambo walioyafanya na wala hawatangulizi risala ya kujisafisha kwanza ndio watubu makosa yao

Kitendo cha Ndugai kutanguliza hotuba na risala ndefu ili kukana kauli zake sahihi na kujisafisha haikuwa toba wala kuomba msamaha bali ilikuwa ni dhihaka kwa wana ccm na Mamlaka iliyojichimbia mzizi zaidi

Ni busara Ndugai akaachana na uspika wa Bunge au akajivua uwanachama wa ccm ili kujenga heshima yake uzeeni

Ndugai kutamka nimekosa sana, Nimekosa Mimi....... Alikuwa anatubu dhambi na kujuta kwa nani?

Ndugai kwa kutamka Nimekosa sana.... Alikuwa anahitaji nani amuombee na kumsamehe, Kuna binadamu anaweza toa msamaha na hata akitoa msamaha kwa kibali gani alichopewa wakfu wa kutoa msamaha?

Tuache dhihaka kwenye imani za watu daima tusimamie ukweli tunaouamini
Hakika ilikuwa Ni sawa na kutucheza shere watanzania,kitendo Cha kutuaminisha kwamba eti ilikuwa Ni edit Ni kutushusha thamani ya uelewa wetu, lakini pia kutuaminisha kwamba hakuwa amekosea na same time anaomba radhi...very contradictory
 
Hakika

Hakika ilikuwa Ni sawa na kutucheza shere watanzania,kitendo Cha kutuaminisha kwamba eti ilikuwa Ni edit Ni kutushusha thamani ya uelewa wetu, lakini pia kutuaminisha kwamba hakuwa amekosea na same time anaomba radhi...very contradictory
Imetimia
 
Back
Top Bottom