lara 1
JF-Expert Member
- Jun 10, 2012
- 15,700
- 29,111
- Thread starter
- #41
Unge kubali akupeleke bar ya kawaida tu! Maana huyo sharo kakusoma kaona akikwambia pakawaida unge kataa!
Lakini imani za kioga zimemponza na kushauri umwambie na yeye atafute na yeye kiasi kidogo!
Mtu nimemwambia chagua!!!! Sababu ndio utaratibu, msaada haunaga risiti, anaetoa ndo anapangia pa kwenda! Naona alinipima, akakuta anapima kina cha bahari kwa mguu. Hahahaaaaaaaa! Ila as a man namuhurumia kweli, his EGO itakuwa ICU by now!!!! Natamani hata nimpigie nimwambie its okay, sijamind! Ila nikikumbuka SHOTI aliyonitia wacha EGO iende mochwari LOL!