Nimekereka mno taarifa kuwa Rais Samia atahudhuria sherehe za Chifu wa Wachagga

Haendi kupewa uchifu huko uchagani bali anakwenda kuhudhuria sherehe ya chifu mwenzake.
Kitendo tu cha yeye kuhudhuria, tayari inakuwa ni azma na ^malango^ ya kusimikwa uchifu. Simple mathematics! You don't have to be a rocket scientist to understand that!
 
Kwenda zako
Kabsa akwende kbsa haoni kuwa katiba Ni mbovu .anajiona anajuwa mm binfs Sina shida na teuzi zao za wakuu wa mikoa tabu Ni matumiz ya fedha zinazotumika

Mfno una kuta spika ndugai atakula mshahara wa 80'% na marupu rupu kibao had kifo chake

Hali kadhalika rais majaji na makamu rais wote wa bara na visiwan achilia mbali mawaziri wakuu wote wapate hvyo Ni mzigo Mkubwa ndio maana una mkuta mtu hayupo tayari kusimamia ukweli akihofia kuwa hayo yote anayo yapata Ni nyingi hvyo hawezi kuwa tofauti na watawala ..na kupelekea kuwa na watawala wa kuwa wanafiki


Sasa unampaje ndugai 80% ya mshahara wa spika wa sasa for the rest of his live
HPN KWA KWELI
 
Sasa wewe hueleweki unakubali au unakataa.... wewe ni wale tunaita WANAFIKI au CHAWA.... yaani umekaa tu kama boya kwenye maji linapigwa na mawimbi halieleweki..... HALAFU UMEANDIKA MANENO MEEEENGI YASIYO NA MAANA YEYOTE.
Jamaaa NI mpuuzi Sana anaona sawa tu kwa katiba hii HPN KWA KWELI
 
Leo kwa kweli Serikali ya CCM mmeniudhi mno kwa mnachotaka kufanya dhidi ya taifa hili changa kiuchumi na kisiasa pia .

Hainingi akili eti kuwa Rais atakuepo Moshi kuudhuria sherehe za chifu wa kabila la Wachaga ..BAD DRAMA

Ni lini tumewai kusikia habari za machifu wa Kichaga kama siyo chifu wa MICHONGO HUYO


SASA KWAKWELI NAMIMI SASA NAUNGANA NA WENGINE WANAODAI KATIBA MPYA MNK MMEZIDI DRAMA KILA SIKU ZA KIPUUZI na tunawangalia tu

Mnatumia kodi zetu bila huruma kiasi hicho kwenda kufanya drama na maafisa wa Serikali mnamdanganya nani Rais mzima kabisa hujawahi hata kufika kwenye bwawa STIGLERS kule kuuliza maendeleo na hadhari zozote.

Nimechukia sana nimekosa hadi usingizi
Tunaenda ishika kanda ya kaskazin ..tumemaliza ya ziwa tukitoka huko tunaenda kusin

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SASA KWAKWELI NAMIMI SASA NAUNGANA NA WENGINE WANAODAI KATIBA MPYA MNK MMEZIDI DRAMA KILA SIKU ZA KIPUUZI na tunawangalia tu
Mshana ni jina la wapare

We mpare acha wivu 😂😂😂😂

Nadhani hata alieanzisha post ni mpare.

Ni wivu tu 😂😂

Hizi kelele zinatoka wapi, mbona alivyoenda kule kwengine alikopewa jina la chief Hangaya hakukuwa na kelele ??

Hii kitu watu imewaumiza Wapare 😂😂 na hata wasukuma waliompa mama jina la Hangaya, leo huenda atapewa Lengine 😂😂.

Chief wa wahehe yule mwarabu yupo kimya sana na wahehe ni kama wanampotezea wanasema wamebambikiwa, Wahehe ndilo kabila ambalo nchini lilikuwa lina uzito flani hivi wa kutambulika chifu wao lakini kwa huyi shombe shombe mpya, anaharibia sana brand wahehe.
 
SASA KWAKWELI NAMIMI SASA NAUNGANA NA WENGINE WANAODAI KATIBA MPYA MNK MMEZIDI DRAMA KILA SIKU ZA KIPUUZI na tunawangalia tu
Kaka vipi ... hii katika ulimwengu wa roho ina maana yeyote tupe elimu kidgo ... natanguliza shukurani
 
Katiba itamzua Rais asihudhurie hizo sherehe?? Punguza mihemko, tangia lini uliwahi kuikubali Serikali hata useme unaungana na wanaodai katiba mpya??

Can you analyze even 10 limitations of the current constitution? Unaweza kutupa way foward on how to do then? Umewahi kusoma katiba za nchi ngapi ukiwa kama mfano halisi kwa katiba uitakayo?

Umeshawahi kuona NCHI Dunuani MKUU WA NCHI akzidiwa mamlaka na mtu mwingine kwenye hiyo nchi?? Speaking from my experience nimesoma katiba za nchi karibu 50 ili kujua mapungufu yetu na uzuri wetu. Nakuhakikishia tuna katiba nzuri, tuache mihemko what we need are just some amendments and not full writting down.

Nchi zote duniani kuna mtu mmoja anakuwa na power kubwa kuliko wengine wote.

Tofauti kubwa ni kwamba nchi nyingi huruhusu Rais kushtakiwa kwa makosa kadha wa kadha.

Nchi yetu sio ya majimbo au States hivyo kufanya kuwa na only CENTRAL GOVERNMENT na kila kitu huwa controlled by CG. USA, NIGERIA nk wao ni Federal states ambapo kila states wana mkuu wao wa polisi, majaji, wana sheria zao ambapo jimbo moja wanaweza kuruhusu bangi kwingine hawaruhusu nk nk.

Nchi yetu kwa muundo wake ni lazima WAKUU WA MIKOA, WILAYA nk wateuliwe na RAIS kwa maana sio Federal state. Huwezi fanya hii nchi ya Majimbo tutakuwa kama Kenya UKABILA utakuwa mkubwa sana na kupelekea unbalanced development kwa watu.

Mwisho hata ikiletwa katiba mpya RAIS atakuwa na MADARAKA MAKUBWA maan yeye ndio MKUU WA NCHI.
Sasa wewe hueleweki unakubali au unakataa.... wewe ni wale tunaita WANAFIKI au CHAWA.... yaani umekaa tu kama boya kwenye maji linapigwa na mawimbi halieleweki..... HALAFU UMEANDIKA MANENO MEEEENGI YASIYO NA MAANA YEYOTE.
HALAFU UMEANDIKA MANENO MEEEENGI YASIYO NA MAANA YEYOTE.
Jamaa umemuelewa boss???
 
Halafu anaandika katiba anaona ina mapungufu lakini haina shida.... sijajua tu ni jinsia gani lakini jamaa ubongo umekakamaa....
Soma uelewe, tatizo lenu mkisoma hamtaki kuelewa, nimeeleza wazi hii katiba haina shida ni just kufanya amendments ndogo ndogo na sio kusema eti katiba hii haifai ifumuliwe iletwe mpya. Hata ukichukua katiba ya Warioba na hii utagundua 75% hadi 85% ina mambo yale yale. Nimeweka wazi sioni mapungufu eti Rais kuwa na madaraka makubwa wakati nchi zote nilizotembea nimeona wako hivyo hivyo. Nikasema kitu pekee ambacho nchi nyingi (SIO ZOTE) ni kipengele cha Kushtakiwa kwa Rais basi, ambapo kimewekwa ingawa bado pia nchi nyingi Rais hashtakiwi.

Nimetaka kujua mnaopigiza kelele za katiba wekeni hapa angalau vitu 10 ambavyo havifai with some solutions. Na nikasisitiza kuwa NCHI ZOTE DUNIANI MKUU WA NCHI NDIO MWENYE MADARAKA MAKUBWA ZAIDI.

Hoja nyingi za watu wanaodai katiba, hazina mashiko na mostly wanalinganisha na Kenya as we know Kenya hutumia mfumo wa Kaunti (NI KAMA STATES TU) na kwa wao lazima sasa uweze kudelegate some mandatory decision kwa maana wanatoka katika kanda tofauti na wako kupractice kuendana na ukanda wao, kitu ambacho kwa TZ hakuna.

Kelele nyingi za katiba hazina mashiko, na wengi hawana uelewa wa kile wanachikitaka. Ni kufuata mkumbo tu. Mfano UK kuna nchi nne (IRELAND, ENGLAND, WALES na SCOTLAND) muungano wao hauna tofauti kubwa sana na huu wetu, wana mabunge yao lkn wana bunge la pamoja kama UK nk.
 
Mshana ni jina la wapare

We mpare acha wivu

Nadhani hata alieanzisha post ni mpare.

Ni wivu tu

Hizi kelele zinatoka wapi, mbona alivyoenda kule kwengine alikopewa jina la chief Hangaya hakukuwa na kelele ??

Hii kitu watu imewaumiza Wapare na hata wasukuma waliompa mama jina la Hangaya, leo huenda atapewa Lengine .

Chief wa wahehe yule mwarabu yupo kimya sana na wahehe ni kama wanampotezea wanasema wamebambikiwa, Wahehe ndilo kabila ambalo nchini lilikuwa lina uzito flani hivi wa kutambulika chifu wao lakini kwa huyi shombe shombe mpya, anaharibia sana brand wahehe.
Hapna ndugu yangu college mate mwenzangu mm siyo mpare wala mchaga nakuhakikishia Hilo .haiwezekani katik taifa duni Kiasi hiki tuenzi Tena machief wasiokuwa na adhari zozote katk jamii ya civilized people ...

Kwann aende Huko Kwanza Ni hatar kwake kwa vile serekali yake inatuhumiwa kumbabikiza kesi mh mbowe na wezake ..je Kama ni mtego wa kulogwa na kufishwa uchizi fln HV atamlaumu Nani? HV unaendaje kuchichanganya na jamii fln wakt wanakujuwa fika kuwa wewe Ni adui wao # 1 Ni hatari TISS tazameni hili
 
Back
Top Bottom