wakikosi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 1,354
- 1,483
Waungwana naomba niwashirikishe jambo hili,kesi ya mirathi ilifunguliwa ikaisha,na nyaraka za kuhamisha fedha toka bank ambako marehemu aliweka fedha kwenda kwenye akaunti ya mahakama zilishapatikana na kuchukuliwa na muhasibu wa mahakama na ili kuandaa faili kwa malipo.
Lakini ni mezi 2 sasa hela hazijalipwa,ukienda mahakamani muhasibu anakwambia ukaguzi bado unafanyika, mara ukaguzi mara 3 wa faili.
Naona sarakasi na ucheleweshwaji ni mkubwa, sasa naomba ndugu zangu kama kuna utaritibu fulani au kuna sehemu naweza kwenda ili fedha hizo zilipwe mapema maana muda unaenda sana na muhasibu majibu yake hayanifurahishi.
Nifanyeje ili hela hizo zilipwe mapema na kwa wakati maana taratibu zote nimekamilisha tatizo ni mahakama tu inachelewa sana kulipa hela hizo
Lakini ni mezi 2 sasa hela hazijalipwa,ukienda mahakamani muhasibu anakwambia ukaguzi bado unafanyika, mara ukaguzi mara 3 wa faili.
Naona sarakasi na ucheleweshwaji ni mkubwa, sasa naomba ndugu zangu kama kuna utaritibu fulani au kuna sehemu naweza kwenda ili fedha hizo zilipwe mapema maana muda unaenda sana na muhasibu majibu yake hayanifurahishi.
Nifanyeje ili hela hizo zilipwe mapema na kwa wakati maana taratibu zote nimekamilisha tatizo ni mahakama tu inachelewa sana kulipa hela hizo